utukufu mwanjisi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2017
- 2,830
- 2,417
Nashangaa tena nashangaa sana wanasiasa wenzangu ambao mpaka sasa ni wabunge wa majimbo mbalimbali bado wanafanya siasa za miaka ya 90's huko wakati tupo kwenye ulimwengu wa wapiga kura waelewa na wasomi wengi tofauti na kipindi cha nyuma.
Mwanasiasa kijana tena wa kileo bado anaanzisha mashindano sijui nani nani cup, sijui nagawa kanga kwa wamama sijui natoa mashindano ya ng'ombe mara mbuzi, huko kote ni kupoteza nguvu tu.
Tafuteni watu wenye mawazo mapya namna ya kufanya majimboni ili muwe na uhakika wa kubakia 2025 bila wasiwasi wowote bila hivyo mtapoteza hayo majimbo kwa kufanya siasa za miaka ya 90 kwa kipindi hichi.
Mwanasiasa kijana tena wa kileo bado anaanzisha mashindano sijui nani nani cup, sijui nagawa kanga kwa wamama sijui natoa mashindano ya ng'ombe mara mbuzi, huko kote ni kupoteza nguvu tu.
Tafuteni watu wenye mawazo mapya namna ya kufanya majimboni ili muwe na uhakika wa kubakia 2025 bila wasiwasi wowote bila hivyo mtapoteza hayo majimbo kwa kufanya siasa za miaka ya 90 kwa kipindi hichi.