johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,023
Kimsingi miongoni mwa mambo yanayosababisha chama cha siasa kipate Ruzuku ni kura za mgombea Urais na kura za Wabunge wa majimbo
Ndio sababu wakati Wabunge wa Chadema wanaunga Juhudi za shujaa Magufuli Ruzuku ya CCM ilikuwa inaongezeka na ya Chadema inapungua
Ikumbukwe Halina Mdee, Makamba, Bulaya, Mwaifunga, Mwakagenda nk waligombea Ubunge majimboni hivyo kura zao zimechangia Ruzuku ya Chadema kuwa nono
Nirudi kwenye Hoja, kama Chadema wameshindwa kutetea nafasi zao 19 za Ubunge wa Viti Maalum watawezaje kuusimamisha Uchaguzi mkuu wa 2025 pasipopatikana Katiba Mpya?
Kama umemshindwa Sungura utamuweza Simba?
Mlale Unono 😀😀
Ndio sababu wakati Wabunge wa Chadema wanaunga Juhudi za shujaa Magufuli Ruzuku ya CCM ilikuwa inaongezeka na ya Chadema inapungua
Ikumbukwe Halina Mdee, Makamba, Bulaya, Mwaifunga, Mwakagenda nk waligombea Ubunge majimboni hivyo kura zao zimechangia Ruzuku ya Chadema kuwa nono
Nirudi kwenye Hoja, kama Chadema wameshindwa kutetea nafasi zao 19 za Ubunge wa Viti Maalum watawezaje kuusimamisha Uchaguzi mkuu wa 2025 pasipopatikana Katiba Mpya?
Kama umemshindwa Sungura utamuweza Simba?
Mlale Unono 😀😀