Mkuu yaani ni tofauti na hii ishu ya diwani Mawazo ambayo ina hit hapa JF kwa sasa au?!!Kudadadeki...wacha nitoke ofsini ni kaisubirie hii new ishu bar na ki Laptop changu.
wana arusha unganeni. wekeni itikadi zenu pembeni.
msiruhusu mkoa wenu kuwa kitega uchumi cha kina Riz 1
Mkuu asubuhi ulituarifu umefiwa na bibi na unaelekea mazikoni sasa tena huko bar, au we JALUO? na hii itakuwa mpya.
Greenstar wewe ndo mnafiki mbona husemi na yule mdosi aliyefadhili mkutano mkuu wa uliopita wa uvccm achunguzwe? kwani yeye huyo hao omba omba hakuwaona? Acha kabisa hizo za kuleta. Sabodo ni muwazi hatoi pesa yake uchochoroni wala kwa vitisho vya kutumiwa TRA........lakini wanaotoa pesa kwa magamba wengi wao ni wanafiki au waoga............long live Sabodo
wana arusha unganeni. wekeni itikadi zenu pembeni.
msiruhusu mkoa wenu kuwa kitega uchumi cha kina Riz 1
mkuu endelea kutujuza, natamani huu moto uenee kanda ya kati nyanda za kusini
Mkuu asubuhi ulituarifu umefiwa na bibi na unaelekea mazikoni sasa tena huko bar, au we JALUO? na hii itakuwa mpya.
Mkuu amefiwa.. Pole zake.. Ila kama amefiwa na bibi yake then anachofanya ni ku-celebrate maisha ya bibi yake.. Maana ni kawaida kwa wajukuu kufurahia maisha ya grands wao wakati wa miciba.. Huzuni inaachwa kwa wafiwa ambao ni watoto wa marehemu na ndugu wengine.. So kama Mkuu Idimulwa ameamua kwenda bar then hajakosea..
Siyo huko tu na iwe tz nzima ili ccm waamini wamedoda!
Pole sana mkuu, uko kijiji gani mkuu? watu wazima wakifa ni sherehe tu kama mtu alisha fikisha miaka 80++ hakuna haja ya kulia ni kula nyama kwa kwenda mbele.....Asante kwa kunisaidia mkuu...Karibu msibani tule nyama... Maana kama ilivyoada yetu wasukuma ng'ombe kwa ajili ya wajukuu kishaanguka tayari ukiachilia mbali yule wa wananzengo.
Pole sana mkuu, uko kijiji gani mkuu? watu wazima wakifa ni sherehe tu kama mtu alisha fikisha miaka 80++ hakuna haja ya kulia ni kula nyama kwa kwenda mbele.....
niagizie ndovu ya moto kabisa na supu ya mkia naja kaka