Kiroja cha Ngerengere

Leo tunatambiana Mkuu wa Majeshi kaonekana Ngerengere, tunapigana vijembe vya udaku wa afya yake na tetesi za yeye "kutoweka".

Hatulizungumzii hata kidogo tukio lenyewe kubwa pale Ngerengere.

Hatujiulizi Tanzania tumekosa fedha za kujenga na kuboresha kikosi chetu cha anga mpaka tuende Uchina kuomba msaada na kufadhiliwa?

Yaani hatuna dola za kimarekani Milioni mia moja popote? ni heri hata masalia ya Escrow na EPA yangetumika hapo Ngerengere au pale Kigamboni kuliko kuonyesha utegemezi wa hali ya juu kwa China.

Wanatukopesha kujenga Bandari, mitambo ya gesi, reli, barabara, kujenga majengo, matumizi ya serikali, zana za kijeshi na sasa kambi nzima ya jeshi?

Tutalipaje hili deni? Tutalipaje hizi fadhila?
Lalamikeni sana wakati mkiendesha magari yenu katika barabara zilizojengwa kwa msaada toka Japan, mnatibiwa katika hospitali za misaada toka Ulaya, mnasomesha watoto wenu katika shule za misaada toka EU!!

Na bado watu wana ruka ruka na kufurahi kama wenda wazimu kwani wameahidiwa shule bure toka chekechea hadi chuo kikuu!
Boda boda na mama ntilie hawatalipa kodi yoyote hadi kufa!
Na watapanga bidhaa zao hadi milango ya Ikulu!
Wafanyakazi hakuna kulipa kodi !

Hii ndo Tanzania yetu ya wananchi wanaopenda vya bure bila kulipa kodi.
 
Leo tunatambiana Mkuu wa Majeshi kaonekana Ngerengere, tunapigana vijembe vya udaku wa afya yake na tetesi za yeye "kutoweka".

Hatulizungumzii hata kidogo tukio lenyewe kubwa pale Ngerengere.

Hatujiulizi Tanzania tumekosa fedha za kujenga na kuboresha kikosi chetu cha anga mpaka tuende Uchina kuomba msaada na kufadhiliwa?

Yaani hatuna dola za kimarekani Milioni mia moja popote? ni heri hata masalia ya Escrow na EPA yangetumika hapo Ngerengere au pale Kigamboni kuliko kuonyesha utegemezi wa hali ya juu kwa China.

Wanatukopesha kujenga Bandari, mitambo ya gesi, reli, barabara, kujenga majengo, matumizi ya serikali, zana za kijeshi na sasa kambi nzima ya jeshi?

Tutalipaje hili deni? Tutalipaje hizi fadhila?
.....

....mambo yote uliyoyaongelea mkuu ni ya kitaalam mno..!lkn ni mepesi ukiyatyfanyia blaa blaa za siasa kama ulivyofanya...umewahi tafakari, ktk kampeni za uchaguzi, vyama tunavyovishabikia vimetoa wapi pesa zote ambazo zinatumika kwenye kukampeni?...
 
Kama ni uzushi nadhani alienda katika ziara lakini sio katika dunia hii ilio jaa mawasiliano nachelea kusema siku ukweli ukidhili
 
Leo tunatambiana Mkuu wa Majeshi kaonekana Ngerengere, tunapigana vijembe vya udaku wa afya yake na tetesi za yeye "kutoweka".
Hatulizungumzii hata kidogo tukio lenyewe kubwa pale Ngerengere.
Hatujiulizi Tanzania tumekosa fedha za kujenga na kuboresha kikosi chetu cha anga mpaka tuende Uchina kuomba msaada na kufadhiliwa?

Yaani hatuna dola za kimarekani Milioni mia moja popote? ni heri hata masalia ya Escrow na EPA yangetumika hapo Ngerengere au pale Kigamboni kuliko kuonyesha utegemezi wa hali ya juu kwa China.

Wanatukopesha kujenga Bandari, mitambo ya gesi, reli, barabara, kujenga majengo, matumizi ya serikali, zana za kijeshi na sasa kambi nzima ya jeshi?

Tutalipaje hili deni? Tutalipaje hizi fadhila?
Wewe ni Jenerali Ulimwengu? Nikiri mimi binafsi huwa napata sana shida kuishi na watu ambao wana vipaji vya Lawama.Yaani wao ni KULAUMU TUUUUUU,LAWAMAAAA!KULIALIA WEE
 
Leo tunatambiana Mkuu wa Majeshi kaonekana Ngerengere, tunapigana vijembe vya udaku wa afya yake na tetesi za yeye "kutoweka".

Hatulizungumzii hata kidogo tukio lenyewe kubwa pale Ngerengere.

Hatujiulizi Tanzania tumekosa fedha za kujenga na kuboresha kikosi chetu cha anga mpaka tuende Uchina kuomba msaada na kufadhiliwa?

Yaani hatuna dola za kimarekani Milioni mia moja popote? ni heri hata masalia ya Escrow na EPA yangetumika hapo Ngerengere au pale Kigamboni kuliko kuonyesha utegemezi wa hali ya juu kwa China.

Wanatukopesha kujenga Bandari, mitambo ya gesi, reli, barabara, kujenga majengo, matumizi ya serikali, zana za kijeshi na sasa kambi nzima ya jeshi?

Tutalipaje hili deni? Tutalipaje hizi fadhila?
Hata kama una fedha kwenye mambo ya Teknolojia ya kijeshi lazima uonane na waliokuzidi hilo ni jambo la kawaida sana...
 
Lalamikeni sana wakati mkiendesha magari yenu katika barabara zilizojengwa kwa msaada toka Japan, mnatibiwa katika hospitali za misaada toka Ulaya, mnasomesha watoto wenu katika shule za misaada toka EU!!

Na bado watu wana ruka ruka na kufurahi kama wenda wazimu kwani wameahidiwa shule bure toka chekechea hadi chuo kikuu!
Boda boda na mama ntilie hawatalipa kodi yoyote hadi kufa!
Na watapanga bidhaa zao hadi milango ya Ikulu!
Wafanyakazi hakuna kulipa kodi !

Hii ndo Tanzania yetu ya wananchi wanaopenda vya bure bila kulipa kodi.

Sasa si ni bora mama ntilie na bodaboda wasilipe kodi!!
Makampuni mangapi hayalipi kodi yanadaiwa billions of money??Na yanasamehewa kodi
Amka kifikra ww usiwe mtumwa ndani ya Ardhi yako!!
 
Leo tunatambiana Mkuu wa Majeshi kaonekana Ngerengere, tunapigana vijembe vya udaku wa afya yake na tetesi za yeye "kutoweka".

Hatulizungumzii hata kidogo tukio lenyewe kubwa pale Ngerengere.

Hatujiulizi Tanzania tumekosa fedha za kujenga na kuboresha kikosi chetu cha anga mpaka tuende Uchina kuomba msaada na kufadhiliwa?

Yaani hatuna dola za kimarekani Milioni mia moja popote? ni heri hata masalia ya Escrow na EPA yangetumika hapo Ngerengere au pale Kigamboni kuliko kuonyesha utegemezi wa hali ya juu kwa China.

Wanatukopesha kujenga Bandari, mitambo ya gesi, reli, barabara, kujenga majengo, matumizi ya serikali, zana za kijeshi na sasa kambi nzima ya jeshi?

Tutalipaje hili deni? Tutalipaje hizi fadhila?

Mkuu wangu ukisema sana utaambiwa wewe mpinzani...
 
Kuna uwezekano ipo siku nchi itakuja kuchukua mkopo mkubwa na
"Mortgage / bond" ikawa ni sisi wananchi. Kuweni na subira tu mtayaona haya.
 
Mkuu chanzo cha hizo pesa zao ni nini?
Au wamezipata pataje mpaka ndio wamekua wakopeshsji wa Dunia?

mwaka jana china wameipa venezuela mkopo nafuu wa dola za marekani bilion 50,,,,hata marekani hajawahi toa pesa yote hiyo kwa mkupuo..
wanatoa wapi,ngoja nikwambia,,,kutokana na gharama za kuendesha viwanda kule marekani kuwa juu,,,wenye viwanda walihamishia viwanda china,,inaitwa Outsourseing,,,sasa bidhaa nyingi za china zinauzwa marekani na nchi za ulaya,,,bidhaa hizo mamilioni ya tani ndio source kubwa ya china kuwa na reserve kubwa ya dola za marekani,ambazo zikikakaa bank bila kuzungusha inakua ni hasara,,ndo maana wachina wanafanya project kubwakubwa kwa kuinvest hizo pesa ili zisikae bure....china wanafanya project dunia nzima ikiwemo hata marekani kwenyewe
 
Baada ya miaka 10 ijayo sehemu kubwa ya Tanzania itakuwa inamilikiwa na wawekezaji wa china. Tutakuwa watumwa kwenye Tanzania yetu wenyewe. Nawasikitikia wanangu na wajukuu zangu wajao....

Nakushauri uanze kuwatafutia uraia pacha wanao na wajukuu zako mapema iwezekanvyo
kwani hali ishaanza kuwa tete.
 
Rev. Kishoka, you've point! Hata hivyo, tusisahau kwamba issue yenyewe inahusisha jeshi la ulinzi! Kwenye majeshi kuna mengi na sio yote yanayotangazwa! Wakati mwingine unaweza kusikia ni ujenzi wa uwanja wa ndege lakini kumbe ni zaidi ya uwanja wa ndege... you never know! Kwenye mambo ya jeshi, unaweza kukuta bajeti inayotajwa ni 10% tu ya bajeti mzima iliyotumika! Utatajiwa gharama zile zinazoonekana na jicho la kila mmoja! Kama tumeamua kujenga vinu vya nyukilia ardhini, lazima hapa juu tuweke cover up project ili watu wasije kuhoji kwamba: "hivi pale kulikoni; mbona kila siku tunaona inapelekwa mitambo lakini hatuoni kinachojengwa!"

Ni mtazamo tu!
 
Leo tunatambiana Mkuu wa Majeshi kaonekana Ngerengere, tunapigana vijembe vya udaku wa afya yake na tetesi za yeye "kutoweka".

Hatulizungumzii hata kidogo tukio lenyewe kubwa pale Ngerengere.

Hatujiulizi Tanzania tumekosa fedha za kujenga na kuboresha kikosi chetu cha anga mpaka tuende Uchina kuomba msaada na kufadhiliwa?

Yaani hatuna dola za kimarekani Milioni mia moja popote? ni heri hata masalia ya Escrow na EPA yangetumika hapo Ngerengere au pale Kigamboni kuliko kuonyesha utegemezi wa hali ya juu kwa China.

Wanatukopesha kujenga Bandari, mitambo ya gesi, reli, barabara, kujenga majengo, matumizi ya serikali, zana za kijeshi na sasa kambi nzima ya jeshi?

Tutalipaje hili deni? Tutalipaje hizi fadhila?
Haka kanchi tayari kamekuwa mali ya Wachina, They are every where !!:A S 41::A S 41:
 
Leo tunatambiana Mkuu wa Majeshi kaonekana Ngerengere, tunapigana vijembe vya udaku wa afya yake na tetesi za yeye "kutoweka".

Hatulizungumzii hata kidogo tukio lenyewe kubwa pale Ngerengere.

Hatujiulizi Tanzania tumekosa fedha za kujenga na kuboresha kikosi chetu cha anga mpaka tuende Uchina kuomba msaada na kufadhiliwa?

Yaani hatuna dola za kimarekani Milioni mia moja popote? ni heri hata masalia ya Escrow na EPA yangetumika hapo Ngerengere au pale Kigamboni kuliko kuonyesha utegemezi wa hali ya juu kwa China.

Wanatukopesha kujenga Bandari, mitambo ya gesi, reli, barabara, kujenga majengo, matumizi ya serikali, zana za kijeshi na sasa kambi nzima ya jeshi?

Tutalipaje hili deni? Tutalipaje hizi fadhila?

Unajua usiwe mnafiki kwenye masuala ya nchi. Unazungumzia kukopa? ?? Unashangaa wewe?
Mbona hata Marekani ina deni la mkopo kutoka China? Hivi kuna nchi isiyokuwa na mikopo kama Marekani inakopa hivi wewe utakuwa nani usiyekopa.
Niambie wafanya biashara wakubwa wanawezaje kupata mtaji wa biashara kama sio kukopa!
Kukopa unajua kunaleta discipline ya maendeleo na ujengaji wa uchumi.?
Kwa sababu tuna uhakika tunazo natural resources za kutosha suala ni namna ya kuzisimamia na kusiandaa tuu.
Mbona chadema tunakopa kutoka kwa Mbowe tena kwa riba! Tunalipaje. ?
Usilete ushabiki tafadhali kwenye masuala ya nchi hatuna uchama!
Toa ushauri sio kulalamika kama mama yeyooo
 
mwaka jana china wameipa venezuela mkopo nafuu wa dola za marekani bilion 50,,,,hata marekani hajawahi toa pesa yote hiyo kwa mkupuo..
wanatoa wapi,ngoja nikwambia,,,kutokana na gharama za kuendesha viwanda kule marekani kuwa juu,,,wenye viwanda walihamishia viwanda china,,inaitwa Outsourseing,,,sasa bidhaa nyingi za china zinauzwa marekani na nchi za ulaya,,,bidhaa hizo mamilioni ya tani ndio source kubwa ya china kuwa na reserve kubwa ya dola za marekani,ambazo zikikakaa bank bila kuzungusha inakua ni hasara,,ndo maana wachina wanafanya project kubwakubwa kwa kuinvest hizo pesa ili zisikae bure....china wanafanya project dunia nzima ikiwemo hata marekani kwenyewe

Nashukuru Mkuu kwa kunifumbua macho nikuulize swali lingine.

Je kwa Maliasili tulizonazo ambazo zingine hazipatikani sehemu nyingine Duniani isipokua Nchini kwetu tumeshindwa kua Taifa lisilotegemea Misaada na Mikopo?

Kwa nijuavyo mimi na nilivyojifunza Shuleni ni kua asilimia kubwa ya Mataifa ya Ulaya hasa yaliyokua na Makoloni Bara la Africa yaliendelea kiviwanda kutokana na Malighafi walizochuma toka kwetu.

Sisi tumeshindwa nini japo kua hata na Viwanda vya kati ili tuepukane na kuuza Malighafi zisizokua na thamani nje halafu wao wanazitumia kutengenezea bidhaa wanazokuja kutuuzia kwa bei ya juu?
 
Why does theUK needChina to build itsnuclear plants?
By Camila Ruz
BBC News Magazine
25 September 2015From the sectionMagazine

Image copyright
Getty Images
The UK's Hinkley Pointnuclear power station has major backing fromChina. But why does the government need their help?
It will be the firstnuclearplant in theUK for 20 years. Hinkley Point C in Somersetis expected to provide up to 7% of the UK's electricity needs and create thousands of jobs.
The project by French energy company EDFis going to be partly backed byChina through a 0„52bn deal that the government has said it will guarantee.
Chancellor George Osborne has said that will allow"unprecedented co-operation" on the construction of morenuclear plants.
There are already reports that a Chinese-designednuclear reactor could be built in Essex.
But theUK used to be a leader in thenuclear energy industry.It opened the world's first civilnuclear reactor in the 1950s
. So why does a country with so much experience now need help from abroad?
"Nuclear power plants are astonishingly expensive," says Stephen Thomas, energy policy expert and a retired professor from the University of Greenwich Business School.
Constructing a largenuclear reactor takesthousands of workers and needs a huge number of components and materials
. The site needs to be prepared beforehand and a whole host of systems put in place from cooling to back-up safety mechanisms.
The cost of construction alone at Hinkley Pointis estimated at a massive 0„524bn. Few private companies are able to afford that kind of money.
 
Back
Top Bottom