eNapenda kuwa uliza wanauma,kipindi hiki mnapokea simu au ujumbe wa aina gani.?
Kwa sisi wakimbiza mwenge huu ndio wakati wa kula kwa mkopo,ahadi kibao "mrembo usiwe na wasiwasi utapendeza mpaka mtaa mzima watakushangaa,nimekuagizia viwalo vya kisasa kuanzia juu mpaka chini,utamechisha kama nyumba za askali police"kumbe unatengeneza bom la machozi,kuja kushtuka ulisha kula mpaka ukagafua.
Dear si unajua unavyonilisha vizuri, huyu meya wa Daris-laam kanenepa! Kabati zote hazimtoshi ! Ninunulie makabati mapya!
Vip wanaume wenzangu mnapokea ujumbe wa aina gani muda huu na siku hizi.?Napenda kuwa uliza wanauma,kipindi hiki mnapokea simu au ujumbe wa aina gani.?
"Dear Kodi ya pango inaisha tarehe 11-January 2012, na halafu mwenye nyumba ameongeza kodi.." I Love You..
"Baby Xmass itakuwaje? Nataka nikafanye shopping Mariedo, na pia nataka kwenda kusuka ILALA, naomba 500,000" XOXO
"Mpenzi sasa "Kova" utamdanganya vipi kuhusu ile safari yetu ya Zanzibar on New year Eve?" Missing You badly..
"Sweetie naomba uniongezee 600,000 niweze kumalizia school fees ya mdogo wangu kule Kantalamba.." Kiss & Hug...
"Mama na wadogo zangu watakuwepo wakati wa sikukuu hizi kwahiyo naomba hela ya shopping ya chakula my love.."..Bye
"Sweetheart nimeishiwa naomba pesa ya mafuta kama 200,000 ukiweza pliz..." Chat later baby..