"Dear Kodi ya pango inaisha tarehe 11-January 2012, na halafu mwenye nyumba ameongeza kodi.." I Love You..
"Baby Xmass itakuwaje? Nataka nikafanye shopping Mariedo, na pia nataka kwenda kusuka ILALA, naomba 500,000" XOXO
"Mpenzi sasa "Kova" utamdanganya vipi kuhusu ile safari yetu ya Zanzibar on New year Eve?" Missing You badly..
"Sweetie naomba uniongezee 600,000 niweze kumalizia school fees ya mdogo wangu kule Kantalamba.." Kiss & Hug...
"Mama na wadogo zangu watakuwepo wakati wa sikukuu hizi kwahiyo naomba hela ya shopping ya chakula my love.."..Bye
"Sweetheart nimeishiwa naomba pesa ya mafuta kama 200,000 ukiweza pliz..." Chat later baby..
Mie nilidhani kwa kipindi hiki cha mvua utaulizwa "UKO WAPI??" kumbe mnaombwa hela ya xmass jamani wee!!
Shikamoo mjomba, nimefaulu kwenda shule ya kata ina mwalimu mmoja tu, naomba nije kwako nisome Tambaza au feza boys.
wabongo noma washaimuvuzisha fb hii!
Nipo busy ofisini kunafanyika Hesabu za kufunga mwaka.Sina hakika kama nitapata nafasisweet mbona unapotea jamani ,nakusubiri tufanye shopping ya xmas na mwaka mpya
i miss you so much sweet my sweet potatoes
Dear si unajua unavyonilisha vizuri, huyu meya wa Daris-laam kanenepa! Kabati zote hazimtoshi ! Ninunulie makabati mapya!
mwe mwe mweee"Dear Kodi ya pango inaisha tarehe 11-January 2012, na halafu mwenye nyumba ameongeza kodi.." I Love You..
"Baby Xmass itakuwaje? Nataka nikafanye shopping Mariedo, na pia nataka kwenda kusuka ILALA, naomba 500,000" XOXO
"Mpenzi sasa "Kova" utamdanganya vipi kuhusu ile safari yetu ya Zanzibar on New year Eve?" Missing You badly..
"Sweetie naomba uniongezee 600,000 niweze kumalizia school fees ya mdogo wangu kule Kantalamba.." Kiss & Hug...
"Mama na wadogo zangu watakuwepo wakati wa sikukuu hizi kwahiyo naomba hela ya shopping ya chakula my love.."..Bye
"Sweetheart nimeishiwa naomba pesa ya mafuta kama 200,000 ukiweza pliz..." Chat later baby..