Kipima joto ITV: Maandamano ya CHADEMA morogoro, je kulikuwa na haja ya polisi kutumia nguvu ile?

Hivi we mama kwa hiyo unashauri waache ati kwa sababu mtu alisha kufa! Ni kesi ngapi zinaendelea wakati wahusika wamekufa? Jaribu kutumia huo ubongo vizuri!

Alaf tupe ushahidi kuwa wananchi walikuwa wakikabiliana na polisi hivyo ikawalazimu kutumia risasi za moto!

Ni vyema ukafatilia sakata hili vizuri na ukajua makubaliano ya polisi na cdm kisha ujue kilichojiri.

Acha kuongea kwa hisia
Eti nadhani walikaidi , hivi unajua maana ya nadhani?
Hayo maoni hayawezi kuondoa msingi wenyewe. Binafsi naamini kama CDM walikaidi amri ya Polisi ni dhahiri walijiandaa kukabiliana nao, hivyo ilikuwa ni lazima wajihami. Kinachinisikitisha ni risasi hizi kuwakuta watu wengine badala ya SLAA wenyewe au MBOWE. Kwa nini watangulishe vijana kama chambo? Nimesikia SLAA anasema wanasubiri ripoti ya Daktari ili wachukue hatua za kisheria. Ni hatua gani hizo zitakazolingana na uhai wa mtu uliopotea? Nilitumai, hatua hizo wangezichukua kuzuia kifo hicho badala kuchukua hatua baada ya mtu kufa, huku ni kutaka kutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
 
Kwani kulikuwa na sababu yeyote ya kuandamana?

Swali la msingi sana. Na kulikuwa na sababu yoyote ya kudharau amri ya Polisi? Nikamsikia SLAA anasema wanasubiri uchunguzi wa daktari ili wachukue hatua za kisheria. Hivi nani anastahili kuchukuliwa hatua , Polisi au CDM waliokaidi amri ya Jeshi la Polisi?
 
Hivi we mama kwa hiyo unashauri waache ati kwa sababu mtu alisha kufa! Ni kesi ngapi zinaendelea wakati wahusika wamekufa? Jaribu kutumia huo ubongo vizuri!

Alaf tupe ushahidi kuwa wananchi walikuwa wakikabiliana na polisi hivyo ikawalazimu kutumia risasi za moto!

Ni vyema ukafatilia sakata hili vizuri na ukajua makubaliano ya polisi na cdm kisha ujue kilichojiri.

Acha kuongea kwa hisia
Eti nadhani walikaidi , hivi unajua maana ya nadhani?

Tatizo wewe hutaki kushughulisha ubongo sijui ulizaliwa kwa Operation, hivi kama Maandamano yamefanyika kwa lazima manake nini kama siyo wanachi walilazimisha ili kufanikiwa azma yao. Eti nifutilie sakata, hapo tena kuna siri gani,ni suala tu la kurejea mabishano kati ya Polisi na CDM na kufikia hitimisho kwmba walilazimisha ambapo tafsiri yake ni matumizi ya nguvu.
 
Swali la msingi sana. Na kulikuwa na sababu yoyote ya kudharau amri ya Polisi? Nikamsikia SLAA anasema wanasubiri uchunguzi wa daktari ili wachukue hatua za kisheria. Hivi nani anastahili kuchukuliwa hatua , Polisi au CDM waliokaidi amri ya Jeshi la Polisi?

Muda mwengine tusikilaumu bure hiki kibabu,hayuko sawa na muda si mrefu wafuasi wake wataanza kugundua.
 
Hayo maelezo yote yanaonesha wewe bado ni mgonjwa,pole sana naona unahangaika
sana
Mpaka ulainike ndipo nakuacha, siyo unakuja na hoja ambazo hazina kichwa hapa JF. Yaani watanzania wanakufa kwa uzembe kabisa kisa uchu wa madaraka wa watu wachache, mbona hawakua mbele ya msafara kama kweli walikuwa na nguvu ya kukaidi amri ya Polisi,tena wao wana kinga kubwa ya kutoshambuliwa kwa wale tunaojua masuala siasa. Sasa mdudu tu unalalama, kwanza ulikuwepo kule moro au kwa vile umekwisha lewa ndiyo maana unatapika hovyo humu ndani
 
unajua ndugu yangu mwendawazimu huwa anakuwa wa kwanza kuwaita watu wazima vichaa , sishangai kwa sababu tayari laana ya vyama vya siasa na wanasiasa wake wenye uchu wa madaraka tayari imekwisha kwiva kichwani mwako na unachoweza kuamini tu ni kwamba kufa sasa kijinga tu ni jambo la kawaida. Hivi kweli unaweza kulaumu polisi ambao tayari walishatangaziwa hali ya hatari na cdm? Kitendo cha kukataza kufanyika kwa maandamano lakini yakalazimishwa tayari ilikuwa ni vita na ndiyo maana makamanda wakubwa walikaa pembeni na kutanguliza makuruta wakafe kwanza , na hii ni kawaida katika vita yoyote ile. Hakuna jeshi ambalo huwa linatanguliza makamanda wake wakuu na hicho ndicho walichokifanya cdm. Hivi wao wanweza kulala usingizi mnono na mungu akawahukumu polisi wao wakasalimika kweli kubeba dhambi hiyo?

Iko siku watanzania tutalia na kuthamani kurudia mfumo wa chama kimoja lakini tayari tutakuwa tumekwishachelewa pale tutakapokuwa tunatembea juu ya miili ya watu na damu kama ambavyo ilikuwa kule rwanda katika yale mauaji ya watu milioni moja ndani ya siku 100.

Tukumbuke kuwa huyo kijana aliyekufa morogoro angekuwa ni slaa au mbowe hali ingekuwa imekwisha badilika na wengine yatari tungekwisha vuka mipaka kuelekea malawi japo ni adui zetu kwa sasa.

hakika wewe ni shetani.
 
Mpaka ulainike ndipo nakuacha, siyo unakuja na hoja ambazo hazina kichwa hapa JF. Yaani watanzania wanakufa kwa uzembe kabisa kisa uchu wa madaraka wa watu wachache, mbona hawakua mbele ya msafara kama kweli walikuwa na nguvu ya kukaidi amri ya Polisi,tena wao wana kinga kubwa ya kutoshambuliwa kwa wale tunaojua masuala siasa. Sasa mdudu tu unalalama, kwanza ulikuwepo kule moro au kwa vile umekwisha lewa ndiyo maana unatapika hovyo humu ndani

NaSEMA WEWE NI SHETANI
 
Muda mwengine tusikilaumu bure hiki kibabu,hayuko sawa na muda si mrefu wafuasi wake wataanza kugundua.

Unajua huyu SLAAA ana frustration nyingi sana, frustration za kuasi kanisa, frustration za kutapeliwa ubunge kule karatu, frustration za ndoa zake zote mbili na zaidi sasa anaona uzee unaingia, anaharibu vijana kama akina Mnyika na ZITTO, ila nadahani ZITTO kishagundua kuwa babu anazeeka vibaya ameamua kumpotezea jana nikasikia anasema "TUNASHUKURU MNYIKA AMEFIKA ILA ZITTO HAPATIKANI KWENYE SIMU ZAKE" sasa kweli maneno ya kusema hayo mbele ya watu? ina maana alikuwa anamshtaki ZITTO au? teh tehe teh, acha tu nijichekee.
 
hakika wewe ni shetani.

Mtanipa majina yote mabaya lakini ujumbe utakuwa umefika. Humu tunaambiana ukweli bwana hakuna kufichana. Nataka siku nyingine SLAA asimame yeye kama yeye mbele ya Polisi bwana siyo kutanguliza vijana ambao pengine familia zilikuwa zikimtegemea kwa hali na mali.
 
Matokeo yamekuwa kama ifuatavyo:

Waliosema kulikuwa hakuna aja kwasababu watu walikuwa wanadai haki yao ni 91%

Waliosema kuwa polisi ilifanya sawa kutumia mabomu na nguvu kubwa ni 8%

Mwenye macho na masikio aone namna ambavyo watanzania wamechoka na udhaifu wa hii serikali.


Source:
ITV Habari

Kwanza mtu utakwendaje kwenye mkutano unaoongozwa na mtu aliyeasi kanisa, akaoa, akamuacha mke wake na kuchkua kimada? Hivi tunamtania Mungu kweli, lazima tutapata mapigo ya ajabu kwa sababu tunashiriki katika matendo machafu na mtu mchafu ambaye yeye alishazoea uchafu na kuuona wa kawaida. Mungu huwaadhibu wale wanaoshirikiana naye ili waweze kurudi kundini kwa vile tayari yeye ni wa shetani.
 
hapana ilitakiwa tukaibe kwanza benk kuu na kuficha pesa uswis ndo 2andamane.shame on you gamba.

We iba tu uone, sitoshangaa siku ukirudi toka jela ukawa mnenguaji mahiri jela si mchezo.
 
Mpaka ulainike ndipo nakuacha, siyo unakuja na hoja ambazo hazina kichwa hapa JF. Yaani watanzania wanakufa kwa uzembe kabisa kisa uchu wa madaraka wa watu wachache, mbona hawakua mbele ya msafara kama kweli walikuwa na nguvu ya kukaidi amri ya Polisi,tena wao wana kinga kubwa ya kutoshambuliwa kwa wale tunaojua masuala siasa. Sasa mdudu tu unalalama, kwanza ulikuwepo kule moro au kwa vile umekwisha lewa ndiyo maana unatapika hovyo humu ndani
Umamaliza?
 
Unajua ndugu yangu Mwendawazimu huwa anakuwa wa kwanza kuwaita watu wazima vichaa , sishangai kwa sababu tayari laana ya vyama vya siasa na wanasiasa wake wenye uchu wa madaraka tayari imekwisha kwiva kichwani mwako na unachoweza kuamini tu ni kwamba Kufa sasa kijinga tu ni jambo la kawaida. Hivi kweli unaweza kulaumu Polisi ambao tayari walishatangaziwa hali ya hatari na CDM? Kitendo cha kukataza kufanyika kwa maandamano lakini yakalazimishwa tayari ilikuwa ni vita na ndiyo maana Makamanda wakubwa walikaa pembeni na kutanguliza makuruta wakafe kwanza , na hii ni kawaida katika vita yoyote ile. Hakuna jeshi ambalo huwa linatanguliza makamanda wake wakuu na hicho ndicho walichokifanya CDM. Hivi wao wanweza kulala usingizi mnono na Mungu akawahukumu Polisi wao wakasalimika kweli kubeba dhambi hiyo?

Iko siku watanzania tutalia na kuthamani kurudia mfumo wa Chama kimoja lakini tayari tutakuwa tumekwishachelewa pale tutakapokuwa tunatembea juu ya miili ya watu na damu kama ambavyo ilikuwa kule Rwanda katika yale mauaji ya watu milioni moja ndani ya siku 100.

Tukumbuke kuwa huyo kijana aliyekufa morogoro angekuwa ni SLAA au Mbowe hali ingekuwa imekwisha badilika na wengine yatari tungekwisha vuka mipaka kuelekea Malawi japo ni adui zetu kwa sasa.

cjui wewe ni mtu wa aina gani,watawala wako tayari kumwaga damu ili mradi wasiondolewe tena kwa njia ya amani.hivi hapa Tz hatuna rubber bullets.why always live amunitions.nina mashaka na ccm kungangania madaraka hata kama watashindwa kwenye ballot box.
 
Asimia 91% ni kubwa sana,inaonesha jinsi watu wanavyolijua jeshi la polisi halitumii busara.Nimeanza kukubali CCM haipendwi tena hapa Tz na serikali yake
 
watu mnaohudhuria mikutano ya CDM msipoangalia mtakwisha kwa risasi, hiki chama tayari kimeshakuwa cha laana na laana hii inasababishwa na sisi wenyewe badala ya kulaaani tabia ya CDM kudharau vyombo vya dola, tunawasifia na wao kujiona kama wananchi wako nyuma yao. MOTO unapouunguza msitu, usipokuwa makni wakati wa kuuzima unaweza kujikuta katika harakati za kuuzima kwako ukasababisha ukasambaa kwa kasi zaidi kuliko awali. Hivi vyama vya siasa ni lazima vitambue kuwa damu ikishamwagiza mara moja lazima itakuwa inaita kila wakati na kutaka kumwagika na naamini iko siku maneno yangu yatakumbukwa na hasa pale ambapo risasi hizo zitawakuta viongozi wa juu kabisa, Nampongeza Kmanda ZITTO yeye anajua kusoma alama za nyakati.

utamjua tu mtu anayelaliwa na ccm akili mgando kama kichwa cha mtoto mchanga. Acha umbumbumbu wako na kamwe huwezi kutubadilisha kueleke katika mabadiliko yakweli kambadilishe bibi yako na huyo bwana wako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom