commited
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 1,626
- 870
- Thread starter
- #61
meza kuu mchangiaji, ansema makosa yanafanywa na vyama vyenyewe vya siasa, inabidi vijipange katika safu zake anasema cuf walikosea hawakurirekebisha hili la udini kwa kuweka viongozi wake wa aina moja lakini tatizo limetokea mpaka sasa cuf inapoteza umarufu, anasema the same mistake happen to cdm