Kiota cha software-ushauri

Sizinga

Platinum Member
Oct 30, 2007
9,101
6,027
Hey wakubwai, hivi karibuni nataka n'tiee maguu bongoland, sasa mimi nataka niwe mjasilia-hali-na mali,nataka nifungue kiota cha kuuza softwares za computers na zile za simu,yaani nitakuwa nafanya mwenyewe zile kazi za ku-install software, na kwa wale wanaoziitaji basi nitakuwa naziuza.

Ni latest software kama vile za OS (Operating System) ikiwa ni New Window 7, XP (sp1,sp2,sp3), na zile za linux (gnome na kde-environment), Mac na zile software za ofisini na kwenye ma-bussiness, hapa naunganisha na software za aina zote za ku-mix muziki na videoz, ku-design websites, photoshop (CS3 NA CS4), 3dMax, AutoCAD (from 2000 to 2010),

Kwa ufupi kila aina ya software mtu anayoitaka ataipata toka kwenye hicho kiota!!

Sasa nataka nijue upepo wa bongo kwenye biashara kama hizi upoje? Inalipa au bado tupo enzi zile za 47? Na vipi wale ''mafisadi'' hawawezi kunitia kwenye mkono wa sheria, manake mimi ni Pirate mkubwa sana Online na hapa ninazo software zaidi ya milioni 1..?

Najua hapa hakuna kinachoshindikana, hasa kwa wale waliokuwa nyumbani(tz)
 
Mkuu,

Kama umezipata zote hizo BURE kwanini usigawe BURE pia? Manake pirated warez are not for sale as far as I know.

Well, kama unauza Genuine hilo nina hakika hata nje ya Bongo soko utapata, hizi pirated nadhani utawashika masikio wasiojua tofauti yake na Genuine...

Nipo nipo...
 
Mkuu,

Kama umezipata zote hizo BURE kwanini usigawe BURE pia? Manake pirated warez are not for sale as far as I know.

Well, kama unauza Genuine hilo nina hakika hata nje ya Bongo soko utapata, hizi pirated nadhani utawashika masikio wasiojua tofauti yake na Genuine...

Nipo nipo...

invizibo umeonekana leo, duh!.
 
ofcoz hizi za window,ingawa ni pirated lakini zipo madhubuti mno,kwani zina-update kama kawa from genuine, ila sijajua gharama zake,kama mfano kuinstall new window 7 itacost kiasi gani na vitu kama hivyo..........
 
Uwe makini siku hizi Microsoft representatives walioko Nairobi huzungukia baaadhi ya ofisi hapa Dar, Walitutembelea mwaka jana karibu watutoe roho.
 
ofcoz hizi za window,ingawa ni pirated lakini zipo madhubuti mno,kwani zina-update kama kawa from genuine, ila sijajua gharama zake,kama mfano kuinstall new window 7 itacost kiasi gani na vitu kama hivyo..........

Bad idea mkuu, kwanza ni illegal, pili mtandao unaboreshwa bongo siku hizi so hakuna atakayeshindwa kuzidownload hizo pirated version.
 
Mjasirimali ni mtu ambae yupo tayari kuingia katika soko kama unalotamani akiwa amejizatiti na mtaji pamoja na uhakika wa supply zote zikiwa Genuine.

Pia tabia ya kutaka kurundika kila aina ya bidhaa hasa zisizo genuine kwenye soko la wasojua kitu ni kinyume na ethics za biashara.
 
Get creative guys, stop this laziness. Kama huna "ujasirimali" wa kweli endeleza "kubeba box".
 
Hey wakubwai, hivi karibuni nataka n'tiee maguu bongoland, sasa mimi nataka niwe mjasilia-hali-na mali,nataka nifungue kiota cha kuuza softwares za computers na zile za simu,yaani nitakuwa nafanya mwenyewe zile kazi za ku-install software, na kwa wale wanaoziitaji basi nitakuwa naziuza.

Ni latest software kama vile za OS (Operating System) ikiwa ni New Window 7, XP (sp1,sp2,sp3), na zile za linux (gnome na kde-environment), Mac na zile software za ofisini na kwenye ma-bussiness, hapa naunganisha na software za aina zote za ku-mix muziki na videoz, ku-design websites, photoshop (CS3 NA CS4), 3dMax, AutoCAD (from 2000 to 2010),

Kwa ufupi kila aina ya software mtu anayoitaka ataipata toka kwenye hicho kiota!!

Sasa nataka nijue upepo wa bongo kwenye biashara kama hizi upoje? Inalipa au bado tupo enzi zile za 47? Na vipi wale ''mafisadi'' hawawezi kunitia kwenye mkono wa sheria, manake mimi ni Pirate mkubwa sana Online na hapa ninazo software zaidi ya milioni 1..?

Najua hapa hakuna kinachoshindikana, hasa kwa wale waliokuwa nyumbani(tz)

Ukonga ileeee inakuita
 
Hey wakubwai, hivi karibuni nataka n'tiee maguu bongoland, sasa mimi nataka niwe mjasilia-hali-na mali,nataka nifungue kiota cha kuuza softwares za computers na zile za simu,yaani nitakuwa nafanya mwenyewe zile kazi za ku-install software, na kwa wale wanaoziitaji basi nitakuwa naziuza.

Ni latest software kama vile za OS (Operating System) ikiwa ni New Window 7, XP (sp1,sp2,sp3), na zile za linux (gnome na kde-environment), Mac na zile software za ofisini na kwenye ma-bussiness, hapa naunganisha na software za aina zote za ku-mix muziki na videoz, ku-design websites, photoshop (CS3 NA CS4), 3dMax, AutoCAD (from 2000 to 2010),

Kwa ufupi kila aina ya software mtu anayoitaka ataipata toka kwenye hicho kiota!!

Sasa nataka nijue upepo wa bongo kwenye biashara kama hizi upoje? Inalipa au bado tupo enzi zile za 47? Na vipi wale ''mafisadi'' hawawezi kunitia kwenye mkono wa sheria, manake mimi ni Pirate mkubwa sana Online na hapa ninazo software zaidi ya milioni 1..?

Najua hapa hakuna kinachoshindikana, hasa kwa wale waliokuwa nyumbani(tz)

Huu nao ni ufisadi.

Hehehe baada ya muda tutaanza kuambiwa fulani ni mfano wa kuigwa karudi anafanya mambo makubwa.
 
Hivi kama mi nimeipata software for free lazima niigawe for free? Ndo hapo tunapokosea. Naweza ikawa nimeipata free kwa maana ya kwamba sikulipia leseni yake. lakini naweza nikawa nimeingia gharama ikija ishu ya total cost ownership. Na pia inawezekana nmikawa nimeiboresha ili ifanye kazi lkwenye mazingira fulani. Ndo maana kuna baadhi ya product za kama mysql na redhat zinauzwa.
 
Mkuu,

Kama umezipata zote hizo BURE kwanini usigawe BURE pia? Manake pirated warez are not for sale as far as I know.

Well, kama unauza Genuine hilo nina hakika hata nje ya Bongo soko utapata, hizi pirated nadhani utawashika masikio wasiojua tofauti yake na Genuine...

Nipo nipo...


Mkuu hiyo statement yako haijakaa freshi.

Ukinitafutia kitabu cha elektronik cha "Project management" ulichokipata kwenye net bila kulipia - your expertise to find it cost zero Tsh? What about your time?
 
Ndugu hapo kwenye net unapokaa hulipii ? Halafu kama kitu unajua kinauzwa na kina license yake kwa mfano wewe ukakipata kwa bure kwa njia yoyote ujue nawe ni mmoja wa wahalifu
 
nisingekushauri uje all the way kuuza "pirate material". Tanzania inabadilika haraka katika mambo ya IT na hii ishu ya pirate inafanyiwa kazi..
 
Back
Top Bottom