democratic
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 1,642
- 295
makamba alisema ile ilikuwa dangany'ishia toto
KAULI MBIU MPYA ZA JK na CCM:
Umasikini zaidi, Njaa zaidi, Ujinga zaidi, Maradhi zaidi, Giza zaidi, Mikoa mingi zaidi, Wilaya Nyingi zaidi, Mawaziri wengi zaidi, Wezi na Wizi zaidi - Yote haya yanapelekea "Maisha Bora kwa Wateule na Watawala na Maisha Duni kwa Watanzania wengi."
Mh. Rais kikwete katika kampeni zake za mwaka 2005 alikuja na slogan au falsafa ya "MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA" Ikibebwa Ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya!!!, kwa lugha hii alioitumia alikamata hadi viongozi wa dini, na watu wa nyanja zote!!! Kwa masikini ambao kwao Neno"MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA" Lilibeba sanduku la matumaini mapya, kujichomoa kwenye jalala la umasikini na kujiweka angalau katika uwezo wa kumpa maji mtu mwingine anaejiskia na kiu! KILICHOTOKEA ni tofauti na walivyotegemea...lindi la umaskini, rushwa, ufisadi viliongezeka! UCHAGUZI WA 2010 alikuja na "ARI ZAIDI, KASI ZAIDI NA NGUVU ZAIDI", Lugha hii pia iliwahadaa watu japo wengi walizinduka ilibaki kwa watu wa vijijini ambao walitoa nafasi kwa mara nyingine japo sina uhakika sana Kama alishinda tena au lah! kwa sababu Mambo yaliyojadiliwa kwenye WHITE PAPER HAYAJATIMIZWA....! Kwa sasa kila kitu kimebadilika! Watu wamechoka wameshajua kuwa "MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA" ILIKUWA ZUBAISHA *****.. ILIKUWA LUGHA YA UONGO! Kuweni makini 2015.
Mh. Rais kikwete katika kampeni zake za mwaka 2005 alikuja na slogan au falsafa ya "MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA" Ikibebwa Ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya!!!, kwa lugha hii alioitumia alikamata hadi viongozi wa dini, na watu wa nyanja zote!!! Kwa masikini ambao kwao Neno"MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA" Lilibeba sanduku la matumaini mapya, kujichomoa kwenye jalala la umasikini na kujiweka angalau katika uwezo wa kumpa maji mtu mwingine anaejiskia na kiu! KILICHOTOKEA ni tofauti na walivyotegemea...lindi la umaskini, rushwa, ufisadi viliongezeka! UCHAGUZI WA 2010 alikuja na "ARI ZAIDI, KASI ZAIDI NA NGUVU ZAIDI", Lugha hii pia iliwahadaa watu japo wengi walizinduka ilibaki kwa watu wa vijijini ambao walitoa nafasi kwa mara nyingine japo sina uhakika sana Kama alishinda tena au lah! kwa sababu Mambo yaliyojadiliwa kwenye WHITE PAPER HAYAJATIMIZWA....! Kwa sasa kila kitu kimebadilika! Watu wamechoka wameshajua kuwa "MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA" ILIKUWA ZUBAISHA *****.. ILIKUWA LUGHA YA UONGO! Kuweni makini 2015.
Unamaanisha Watanzania hupenda kuweka Matumaini yao kwa wanasiasa badala ya kuchapa kazi..?
Akija mwingine kutoka upande wa pili mtamtumaini?
....Ulikuwa ni usanii tu wa kuhakikisha anaingia Ikulu lakini hana hata chembe moja ya leadership quality hata ya kuwa mjumbe wa nyumba kumi kumi achilia mbali kuwa Rais wa nchi.
mh. Rais kikwete katika kampeni zake za mwaka 2005 alikuja na slogan au falsafa ya "maisha bora kwa kila mtanzania" ikibebwa ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya!!!, kwa lugha hii alioitumia alikamata hadi viongozi wa dini, na watu wa nyanja zote!!! Kwa masikini ambao kwao neno"maisha bora kwa kila mtanzania" lilibeba sanduku la matumaini mapya, kujichomoa kwenye jalala la umasikini na kujiweka angalau katika uwezo wa kumpa maji mtu mwingine anaejiskia na kiu! Kilichotokea ni tofauti na walivyotegemea...lindi la umaskini, rushwa, ufisadi viliongezeka! Uchaguzi wa 2010 alikuja na "ari zaidi, kasi zaidi na nguvu zaidi", lugha hii pia iliwahadaa watu japo wengi walizinduka ilibaki kwa watu wa vijijini ambao walitoa nafasi kwa mara nyingine japo sina uhakika sana kama alishinda tena au lah! Kwa sababu mambo yaliyojadiliwa kwenye white paper hayajatimizwa....! Kwa sasa kila kitu kimebadilika! Watu wamechoka wameshajua kuwa "maisha bora kwa kila mtanzania" ilikuwa zubaisha *****.. Ilikuwa lugha ya uongo! Kuweni makini 2015.
Katika kipindi cha Kikwete kaongeza wastani wa umri wa kuishi Mtanzania kutoka miaka 48 (au 50) wakati anachukuwa madaraka mpaka kufikia miaka 55. Au huoni kuwa hapo karibu kila mmoja kafaidika kwa maisha bora? Na hiyo ni kwa miaka 6 aliyopo madarakani, haijawahi chart ya wastani wa umri wa Mtanzania kupanda kama kipindi hiki cha Kikwete ni rekodi ambayo anaishikilia.