Kingine kinachomwangusha JK ni lugha!!

Az 89

JF-Expert Member
Nov 20, 2011
1,658
691
Mh. Rais kikwete katika kampeni zake za mwaka 2005 alikuja na slogan au falsafa ya "MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA" Ikibebwa Ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya!!!, kwa lugha hii alioitumia alikamata hadi viongozi wa dini, na watu wa nyanja zote!!! Kwa masikini ambao kwao Neno"MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA" Lilibeba sanduku la matumaini mapya, kujichomoa kwenye jalala la umasikini na kujiweka angalau katika uwezo wa kumpa maji mtu mwingine anaejiskia na kiu! KILICHOTOKEA ni tofauti na walivyotegemea...lindi la umaskini, rushwa, ufisadi viliongezeka! UCHAGUZI WA 2010 alikuja na "ARI ZAIDI, KASI ZAIDI NA NGUVU ZAIDI", Lugha hii pia iliwahadaa watu japo wengi walizinduka ilibaki kwa watu wa vijijini ambao walitoa nafasi kwa mara nyingine japo sina uhakika sana Kama alishinda tena au lah! kwa sababu Mambo yaliyojadiliwa kwenye WHITE PAPER HAYAJATIMIZWA....! Kwa sasa kila kitu kimebadilika! Watu wamechoka wameshajua kuwa "MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA" ILIKUWA ZUBAISHA *****.. ILIKUWA LUGHA YA UONGO! Kuweni makini 2015.
 
Imekosewa kuwa posted but i think unaweza kunisoma! Kikwete katika chaguzi zote mbili ametumia lugha au falsafa ya "MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA" kitu ambacho imekuwa kinyume kabisa na hiyo lugha! Umaskini umeongezeka! Ufisadi usiseme! Watu wa nyanja zote hata viongozi wa dini wameshashtuka kuwa ile ilikuwa ni Danganya toto! Kuweni makini 2015 kuna watu wapo chimbo wanatengeneza falsafa nyingine ya kuwashika.
 
Mh. Rais kikwete katika kampeni zake za mwaka 2005 alikuja na slogan au falsafa ya "MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA" Ikibebwa Ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya!!!, kwa lugha hii alioitumia alikamata hadi viongozi wa dini, na watu wa nyanja zote!!! Kwa masikini ambao kwao Neno"MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA" Lilibeba sanduku la matumaini mapya, kujichomoa kwenye jalala la umasikini na kujiweka angalau katika uwezo wa kumpa maji mtu mwingine anaejiskia na kiu! KILICHOTOKEA ni tofauti na walivyotegemea...lindi la umaskini, rushwa, ufisadi viliongezeka! UCHAGUZI WA 2010 alikuja na "ARI ZAIDI, KASI ZAIDI NA NGUVU ZAIDI", Lugha hii pia iliwahadaa watu japo wengi walizinduka ilibaki kwa watu wa vijijini ambao walitoa nafasi kwa mara nyingine japo sina uhakika sana Kama alishinda tena au lah! kwa sababu Mambo yaliyojadiliwa kwenye WHITE PAPER HAYAJATIMIZWA....! Kwa sasa kila kitu kimebadilika! Watu wamechoka wameshajua kuwa "MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA" ILIKUWA ZUBAISHA *****.. ILIKUWA LUGHA YA UONGO! Kuweni makini 2015.

Unamaanisha Watanzania hupenda kuweka Matumaini yao kwa wanasiasa badala ya kuchapa kazi..?
Akija mwingine kutoka upande wa pili mtamtumaini?
 
....Ulikuwa ni usanii tu wa kuhakikisha anaingia Ikulu lakini hana hata chembe moja ya leadership quality hata ya kuwa mjumbe wa nyumba kumi kumi achilia mbali kuwa Rais wa nchi.
 

Unamaanisha Watanzania hupenda kuweka Matumaini yao kwa wanasiasa badala ya kuchapa kazi..?
Akija mwingine kutoka upande wa pili mtamtumaini?

nafikiri waTanzania wengi huangalia mtu! Hawamwangalii Raisi kama Taasisi, kwani we hukumbuki walisema rais waliyemchagua ni handsome?!
 
Hiyo ndiyo siasa. Bila hivyo unadhani wangevukaje. Subiri 2015 hivi sasa slogan nyingi na tamu zinatungwa.
 
Aliweka slogan kubwa ambayo ameshindwa kuitendea haki!
 
Mh. Rais kikwete katika kampeni zake za mwaka 2005 alikuja na slogan au falsafa ya "MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA" Ikibebwa Ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya!!!, kwa lugha hii alioitumia alikamata hadi viongozi wa dini, na watu wa nyanja zote!!! Kwa masikini ambao kwao Neno"MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA" Lilibeba sanduku la matumaini mapya, kujichomoa kwenye jalala la umasikini na kujiweka angalau katika uwezo wa kumpa maji mtu mwingine anaejiskia na kiu! KILICHOTOKEA ni tofauti na walivyotegemea...lindi la umaskini, rushwa, ufisadi viliongezeka! UCHAGUZI WA 2010 alikuja na "ARI ZAIDI, KASI ZAIDI NA NGUVU ZAIDI", Lugha hii pia iliwahadaa watu japo wengi walizinduka ilibaki kwa watu wa vijijini ambao walitoa nafasi kwa mara nyingine japo sina uhakika sana Kama alishinda tena au lah! kwa sababu Mambo yaliyojadiliwa kwenye WHITE PAPER HAYAJATIMIZWA....! Kwa sasa kila kitu kimebadilika! Watu wamechoka wameshajua kuwa "MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA" ILIKUWA ZUBAISHA *****.. ILIKUWA LUGHA YA UONGO! Kuweni makini 2015.

Haya mambo yote yanakuja kutokana na tabia ya kuangalia upepo unavuma wapi badala ya kuwa na strategies za kukuza uchumi na huduma za jamii kupitia phases mbalimbali tangu nchi ipate uhuru. Kwa kuangalia mfano wa slogan hizo mbili ni dhahiri CCM ilishindwa kuwa na vipaumbele ambavyo vingewashawishi wananchi wawapigie kura.Kwa kuanzia na MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA 2005 Mgombea Urais wa CCM alitazamia kufanya mabadiliko makubwa ya kiuchumi huduma za jamii,kuboresha miundombinu na upatikanaji wa ajira mpya but mambo hayakwenda sawa. Hii ya ari zaidi, Kasi zaidi na nguvu zaidi ni kujaribu kugeuza nyekundu kuwa njano lakini ladha ni ileile nothing changed na impact yake tumeona ni inflation kuwa kubwa, ukosefu wa ajira na kuongezeka kwa umaskini vilivyochagizwa na vitendo vya kifisadi.Hakuna jipya na sera na ahadi zisizotekeleka. Ahadi za kampeni nyingi zilikuwa za uongo kama ambayo naikumbuka mimi ni ujenzi wa flyovers kwa jiji la Dar es salaam tena kwa miaka 5 ya utawala sijui kwa miundombinu gani inayosapoti hii ishu. Watanzania tuwe makini na si kushabikia tu maumivu ya miaka 10 ya utawala mbovu ni hatari kwa maendeleo yetu.
 
Haya mambo yote yanakuja kutokana na tabia ya kuangalia upepo unavuma wapi badala ya kuwa na strategies za kukuza uchumi na huduma za jamii kupitia phases mbalimbali tangu nchi ipate uhuru. Kwa kuangalia mfano wa slogan hizo mbili ni dhahiri CCM ilishindwa kuwa na vipaumbele ambavyo vingewashawishi wananchi wawapigie kura.Kwa kuanzia na MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA 2005 Mgombea Urais wa CCM alitazamia kufanya mabadiliko makubwa ya kiuchumi huduma za jamii,kuboresha miundombinu na upatikanaji wa ajira mpya but mambo hayakwenda sawa. Hii ya ari zaidi, Kasi zaidi na nguvu zaidi ni kujaribu kugeuza nyekundu kuwa njano lakini ladha ni ileile nothing changed na impact yake tumeona ni inflation kuwa kubwa, ukosefu wa ajira na kuongezeka kwa umaskini vilivyochagizwa na vitendo vya kifisadi.Hakuna jipya na sera na ahadi zisizotekeleka. Ahadi za kampeni nyingi zilikuwa za uongo kama ambayo naikumbuka mimi ni ujenzi wa flyovers kwa jiji la Dar es salaam tena kwa miaka 5 ya utawala sijui kwa miundombinu gani inayosapoti hii ishu. Watanzania tuwe makini na si kushabikia tu maumivu ya miaka 10 ya utawala mbovu ni hatari kwa maendeleo yetu.

well!, well said mkuu!
 
Kikwete ni mwiba mdogo uloua tembo. ni maajabu lakini ndo imetokea Tanzania kuwa na rais rahisi kuliko hata mjumbe wa nyumba 10.
 
Mh. Rais kikwete katika kampeni zake za mwaka 2005 alikuja na slogan au falsafa ya "MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA" Ikibebwa Ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya!!!, kwa lugha hii alioitumia alikamata hadi viongozi wa dini, na watu wa nyanja zote!!! Kwa masikini ambao kwao Neno"MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA" Lilibeba sanduku la matumaini mapya, kujichomoa kwenye jalala la umasikini na kujiweka angalau katika uwezo wa kumpa maji mtu mwingine anaejiskia na kiu! KILICHOTOKEA ni tofauti na walivyotegemea...lindi la umaskini, rushwa, ufisadi viliongezeka! UCHAGUZI WA 2010 alikuja na "ARI ZAIDI, KASI ZAIDI NA NGUVU ZAIDI", Lugha hii pia iliwahadaa watu japo wengi walizinduka ilibaki kwa watu wa vijijini ambao walitoa nafasi kwa mara nyingine japo sina uhakika sana Kama alishinda tena au lah! kwa sababu Mambo yaliyojadiliwa kwenye WHITE PAPER HAYAJATIMIZWA....! Kwa sasa kila kitu kimebadilika! Watu wamechoka wameshajua kuwa "MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA" ILIKUWA ZUBAISHA *****.. ILIKUWA LUGHA YA UONGO! Kuweni makini 2015.

Well said!
 
Mh. Rais kikwete katika kampeni zake za mwaka 2005 alikuja na slogan au falsafa ya "MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA" Ikibebwa Ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya!!!, kwa lugha hii alioitumia alikamata hadi viongozi wa dini, na watu wa nyanja zote!!! Kwa masikini ambao kwao Neno"MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA" Lilibeba sanduku la matumaini mapya, kujichomoa kwenye jalala la umasikini na kujiweka angalau katika uwezo wa kumpa maji mtu mwingine anaejiskia na kiu! KILICHOTOKEA ni tofauti na walivyotegemea...lindi la umaskini, rushwa, ufisadi viliongezeka! UCHAGUZI WA 2010 alikuja na "ARI ZAIDI, KASI ZAIDI NA NGUVU ZAIDI", Lugha hii pia iliwahadaa watu japo wengi walizinduka ilibaki kwa watu wa vijijini ambao walitoa nafasi kwa mara nyingine japo sina uhakika sana Kama alishinda tena au lah! kwa sababu Mambo yaliyojadiliwa kwenye WHITE PAPER HAYAJATIMIZWA....! Kwa sasa kila kitu kimebadilika! Watu wamechoka wameshajua kuwa "MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA" ILIKUWA ZUBAISHA *****.. ILIKUWA LUGHA YA UONGO! Kuweni makini 2015.


Well, pamoja na uzuri wa hoja yako, ila naona kama kichwa cha habari hakiendani na maelezo yako. Maana vitu kama hizo Ari mpya, kasi mpya ----- siyo lugha hizo ni kauli mbiu, kwa hiyo ingekuwa vyema ungesema hizo kauli mbiu zimempoza has baadaya ya kushindwa kuwaletea watanzania maisha bora aliyoahidi katika ilani ya uchaguzi 2005 na kumpatia tiketi ya kuwaongoza watz.
 
Well, pamoja na uzuri wa hoja yako, ila naona kama kichwa cha habari hakiendani na maelezo yako. Maana vitu kama hizo Ari mpya, kasi mpya ----- siyo lugha hizo ni kauli mbiu, kwa hiyo ingekuwa vyema ungesema hizo kauli mbiu zimempoza has baadaya ya kushindwa kuwaletea watanzania maisha bora aliyoahidi katika ilani ya uchaguzi 2005 na kumpatia tiketi ya kuwaongoza watz.

sawa mkuu japo lugha inatumika kutengeneza slogan
 
Ni kweli kichawa cha habari ni tofauti na maneno lakini tumeelewa alikuwa anataka kusema nini?

Jamani kweli JK alinifanya nipange foleni kubwa kwenda kumpigia kura baada ya miaka mingi iliyopita nilikuwa nimesusa kwenda kupiga kura.
Yaani ile lugha yake aliyoji- advertise hata mimi nilitekwa nakuamni kwamba JK anafaa lakini baada ya miaka kadhaa kupita nikatambua kwamba hakufaa. Kweli mimi nimegundua kwamba sisi watanzania hatujakuwa makini sana kwa kungalia nani anafaa. Nimeona tofauti kubwa katika awamu yake ya pili alipotuomba tena kura WATANZANIA wengi hasa wa mjini hawakumpenda na hawakumpigia kura. LAKINI WA VIJIJINI NINADHANI walihitaji elimu ya kutosha na hii ni kazi ambayo Dr. Slaa na mwenyekiti wa chadema waifanye kwa moyo wao wote hii miaka 4 iliyobakia na actually sio minne ni mitatu sasa. Jitahidini kuwatembelea wananchi wa vijijini waelimishwe waelewe na wawe tayari kuleta mabadiliko makubwa kwa kuchagua chadema iongoze serikali yetu.
Hata hivyo nina imani chadema walishinda uchaguzi lakini katiba yetu ilichangia sana kumpa ushindi JK, maana haijawahi nchi kuonyesha kwamba kuna ufisadi mkubwa kiasi cha JK kubadili baraza la mawaziri mara kwa mara?


Kweli JK alishindwa kabisa kuonyesha kile alichosema kwetu kabla hatujampa kura na baada ya kumpa kura hali yetu kimaisha ni ngumu ajabu.
Mungu ibariki chadema na Tanzania yote
 
Ni kweli kichawa cha habari ni tofauti na maneno lakini tumeelewa alikuwa anataka kusema nini?

Jamani kweli JK alinifanya nipange foleni kubwa kwenda kumpigia kura baada ya miaka mingi iliyopita nilikuwa nimesusa kwenda kupiga kura.
Yaani ile lugha yake aliyoji- advertise hata mimi nilitekwa nakuamni kwamba JK anafaa lakini baada ya miaka kadhaa kupita nikatambua kwamba hakufaa. Kweli mimi nimegundua kwamba sisi watanzania hatujakuwa makini sana kwa kungalia nani anafaa. Nimeona tofauti kubwa katika awamu yake ya pili alipotuomba tena kura WATANZANIA wengi hasa wa mjini hawakumpenda na hawakumpigia kura. LAKINI WA VIJIJINI NINADHANI walihitaji elimu ya kutosha na hii ni kazi ambayo Dr. Slaa na mwenyekiti wa chadema waifanye kwa moyo wao wote hii miaka 4 iliyobakia na actually sio minne ni mitatu sasa. Jitahidini kuwatembelea wananchi wa vijijini waelimishwe waelewe na wawe tayari kuleta mabadiliko makubwa kwa kuchagua chadema iongoze serikali yetu.
Hata hivyo nina imani chadema walishinda uchaguzi lakini katiba yetu ilichangia sana kumpa ushindi JK, maana haijawahi nchi kuonyesha kwamba kuna ufisadi mkubwa kiasi cha JK kubadili baraza la mawaziri mara kwa mara?


Kweli JK alishindwa kabisa kuonyesha kile alichosema kwetu kabla hatujampa kura na baada ya kumpa kura hali yetu kimaisha ni ngumu ajabu.
Mungu ibariki chadema na Tanzania yote

sawa mkuu!
 
KAULI MBIU MPYA ZA JK na CCM:
Umasikini zaidi, Njaa zaidi, Ujinga zaidi, Maradhi zaidi, Giza zaidi, Mikoa mingi zaidi, Wilaya Nyingi zaidi, Mawaziri wengi zaidi, Wezi na Wizi zaidi - Yote haya yanapelekea "Maisha Bora kwa Wateule na Watawala na Maisha Duni kwa Watanzania wengi."
 
Back
Top Bottom