Magufuli alitujengea fikra ya viwanda na viwanda vilijengwa vikubwa na vidogo. Pia sera zilibadilishwa ili kuibeba agenda ya viwanda. Mfumuko wa bei ulidhibitiwa na kuwatia moyo na ujasiri wawekezaji kutumbukiza fedha zao kwenye ujenzi wa viwanda.
Swali langu ni Je, Tanzania ya Mama Samia ni Tanzania ya nini? Mkapa ilikuwa Ukweli na Uwazi na Uwekezaji jumlisha na Ubinafsishaji. Kikwete alikuja na maisha bora kwa kila mtanzania na ukwapuaji wa laki si pesa.
Je Mama yeye yuko na Tanzania ipi? Agenda yake kuu ni nini? Falsafa yake nayo ni ipi?
Swali langu ni Je, Tanzania ya Mama Samia ni Tanzania ya nini? Mkapa ilikuwa Ukweli na Uwazi na Uwekezaji jumlisha na Ubinafsishaji. Kikwete alikuja na maisha bora kwa kila mtanzania na ukwapuaji wa laki si pesa.
Je Mama yeye yuko na Tanzania ipi? Agenda yake kuu ni nini? Falsafa yake nayo ni ipi?