Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
Kinana ndio Board Chairman wa WIA na shareholder mkubwa wako 2nd floor Barclays House, same applies to Six telecoms wako pamoja na Peter N oni ambaye ni mkurugenzi mkuu TIB na ndie aliyekuwa BOT na yale matatizo ya EPA kabla hajateuliwa . PUSH Mobile anae i run ni mtoto wa Tenga sio wa TFF wako fifth floor....FYI push mobile waliomba hilo swala pia ZAIN lakini ZAIN waliwagomea cause hawataki mambo ya siasa though mwanzoni walikubali wakkaanza ona backlash inakuwa kubwa kutoka customers especially international org ambazo hazitaki kupata sms kuhusu mambo ya siasa..Nahabarisha tu
NASUBIRI KISIKIA WAMELIPA HIYO 8Bil.
Otherewise wakaombe msamaha.