OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,208
- 103,785
Maafisa wa serikali wanachofanya kupiga sehem nyeti ili kumchonganisha mkulu na washkaji
Safi Sana Kama mbwai mbwai ukimwaga mboga napindua ugali aliyeuza cheni bandia naye kapokea hela bandia hapo ngoma droo.Kuna mzungu ambaye alimfundisha Rashid kazi kisha akamzika pesa zake na kumfukuza wakiwemo wakenya wawili na baadhi wa Watanzania ambao ndiyo wametoa Siri zote.
Ndege wa rangi moja uruka pamoja
Kwa sababu inawezekana yeye akawa ndo baba yao.
Rashid alipiga pesa sana Kipindi cha Utawala wa Kikwete na alikuwa na dharau sana ilifika mahala akawa anatukana kila mtu fukuza fukuza ya wafanyakazi ndiyo imemletea haya maafa yote.
Wateja wa mahakama ya mafisadi wameanza kujulikana mmoja mmoja. Wale wa kusingiziwa wako pembeni tuu wanajifua tayari kushika dola 2020 bila gogoro.Kwa kweli inabidi Kinana achunguzwe na akibainika na wizi lazima anyongwe na kufirisiwa kwani mali si zake.
"SIO KWA UTAWALA WANGU" ..... JPMRashid sasa hivi ataachiwa na mtashangaa Nchi hii kuna vioja na kesi watashinda zote na mitambo yao itawashwa yote.
Paroko wa kigango cha mbagala anaweza kuwa na urafiki na mganga wa kienyeji mkuu????..Marafiki wa Kikwete wote ni majambazi, hvi kwa nini?
kazi tuuuuNa bado...mmoja mmoja wanaanza kuumbuka!
Wateja wa mahakama ya mafisadi wameanza kujulikana mmoja mmoja. Wale wa kusingiziwa wako pembeni tuu wanajifua tayari kushika dola 2020 bila gogoro.
Meno ya mbwa hayaumani"SIO KWA UTAWALA WANGU" ..... JPM
Mkuu chukua like kubwa sanaWateja wa mahakama ya mafisadi wameanza kujulikana mmoja mmoja. Wale wa kusingiziwa wako pembeni tuu wanajifua tayari kushika dola 2020 bila gogoro.
Viongo zi wa ccm hawafai kabisaKwa kweli Kikwete hastahili kuonekana hadharani huyu mtu, he is the most useless man I have ever seen in my life. Muda umefika kufuta majina ya viwanja na shule zote zilizo na jina la Kikwete, this man did not do anything good for Tanzania just like Mwinyi, Mkapa before him. Hawa marais hawastahili kupewa heshima yeyote ndani ya nchi yetu, ni majambazi na wanyanyasaji wa hali ya juu.
Paroko wa kigango cha mbagala anaweza kuwa na urafiki na mganga wa kienyeji mkuu????..
"SIO KWA UTAWALA WANGU" ..... JPM
Huo ndio mwisho wa ccmMaafisa wa serikali wanachofanya kupiga sehem nyeti ili kumchonganisha mkulu na washkaji