Maisha Leo
Member
- Oct 30, 2014
- 69
- 55
Mkuu naona unatokwa na povu kali, hawa vijana wamefanya moyo wako uchafukwe kweli kweli.... Waambie walete vithibitishoWakati mwingine ni vyema kujiridhisha na taarifa yeyote kabla ya kuanza kuchafua watu na kuwahusisha na yale ambayo tunafahamu kuwa yatachafua image yao kwenye jamii na kuonyesha kuwa ni watu wa hovyo na wasiofaa kwenye jamii.
Six Telecom haikuwahi kuwa na sio Kampuni inayomilikiwa na Mzee Kinana ambaye ni Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi na wala hana share wala hausiki kwa lolote katika uendeshaji wake.
Ni vyema wakati mwingine mkajiridhisha na jambo kabla ya kuropoka