Kinachoendelea Tanzania kuhusu mfumuko wa bei ni hatari kwa ustawi wa maendeleo ya wananchi na usalama wa nchi

Kwamba nondo ilikuwa inauzw elfu 28 tukawa tunafichwa?

Kwamba bidhaa zilipanda sana bei tukawa tunafichwa?

Hivi mnafikiri kila mtu ni mjinga na haoni kinachoemdelea?
Hiyo 28k unaona ndio ilikua price halisi?

Umezungumzia nondo tu vipi kuhusu watu waliokuwa wakiporwa pesa zao ndani ya account na TRA wakituambia makusanyo yameongezeka?

Wale waliokwapuliwa pesa Bureau de Change je?

Hujazungumzia VFR ya 6% kwa wahitimu wa HESLB .

Pesa za mifuko ya jamii zilichukuliwa kwenda kwenye miradi isiyo na tija sababu ya sifa za mtawala.

Mwisho nikuambia inflation hua nyingi ikiwemo kutokuwepo urari wa demand & supply.

Purchasing power ya Tanzania iko chini ajabu mkaamini nchi iko uchumi wa kati huku watu hata mlo wengine ni shughuli.
 
Mfumuko wa bei unasababishwa na serikali iliyopo ama kutatuliwa na serikali iliyopo.
Magufuli ,if any , "alisababisha uchumi kusinyaa" nasiyo inflation yani mfumko wa bei.
Mfumuko wa bei unasababishwa hasa na vitu hivi:
1. Serikali kushindwa ku control na ku regulate soko na ndiyo maana serikali ina regulatory authorities kila sehemu.

2. Production cost imeongozeka sana hadi kumfikia mlaji na msababishaji hapa ni serikali pia, mfano wameongeza kodi, wameongeza tozo, umeme unakatokakatika, ulipaji wa wafanyakazi mshahara umeongezeka nk.

3. Demand imekuwa kubwa kuliko production hii ndo huamualiwa na soko huria.

Ila ukiangalia kwa Tanzania inflation ni sababu ya namba moja na mbili. Serikali legelege isiyojali.

Nini serikali inachoweza kufanya na ku control inflation.
1. Serikali ina subsidies ktk imported goods ambazo ni basics kama mbolea na mafuta na gas nk.

2. Serikali inapunguza ama kufuta kabisa kodi na tozo zinazosababisha artificial inflation.

3. Serikali kuhakikisha umeme haukatiki ili kupunguza productions cost.
Zingine utaongezea.
Umemjibu vizuri sana huyo kenge anatetea ujinga wakati watanzania tunaumia. alisoma topic moja ya demand and supply basi anakuja kutusumbua nayo hiyohiyo.
 
Ndugu zangu watz wenzangu nadhan mtakuwa nami juu ya kinachoendelea kwa sasa katika nchi yetu

Wafanyabiashara saiz wanajiamulia bei gan watupige na kila siku wanapandisha bei hasa wakijisikia kitu ambacho ni hatar sn kwa usalama wa nchi

Kibaya zaid pamoja na bei za vitu kupanda kila siku yan ni kama hatuna viongoz yan ni kama nchi inajiendesha yenyewe.....Rais yupo,wazir mkuu yupo,mawazir wapo lkn masikin ya Mungu hakuna hata mmoja mmoja anaeumia na kuumizwa kwa wananchi hawa watz ndio kwanza kila mtu yuko bize kuangalia anavunaje sehem aliyopo.

Hali hio sasa imetoka kwenye chakula imeenda had kwenye mawasiliano ya simu yan saiz wanajibadilishia tu vifurushi kila wanapojisikia. yaani kwa kweli hali ni mbaya sn tena sn na masikin ya Mungu watz hawa hatujui hata haki zetu tunasubir wakina CHADEMA au NCCR ndio watusemee bila wao kufanya hivo kila mtu yuko kimya hadi vile vyama vyetu vya kiraia ambavyo sijui viko wapi siku hizi.

Hebu imagine unakwenda sokon lkn unakuta kila mtu anauza vitu kwa bei yake na wala hata hawana wasiwas wao wanasema wanafidia kipind kigum cha mwendazake.

Hiv kweli Tanzania tumefikia huku kweli jaman,mbona inasikitisha sn jaman. Huyu mwananchi wa kawaida kabisa anaishije kwa hali hii?

Nadhan sasa umefika wakati wa wanachi wa Tanzania kuleta umoja wetu na kureact bila kujali utofaut wa vyama vyetu,dini zetu wala ukanda wetu na kuacha kutegema vyama vya siasa kutusemea katika matatizo yetu.

Serikal imeshindwa mapema sn katika hili la mfumuko wa bei hivo ni wakati wetu sisi wananchi kuondoa tofauti na kuwa kitu kimoja katika hali hii mbaya kabisa katika ustawi wa taifa na maendeleo ya wananchi

Naomba kuwasilisha
SERIKALI chini CHIFU HAGAYA itaudhibiti huo MFUMUKO
 
Wafanya biashara wa kubwa kama bhakresa au GSM, sio lahisi kufrisika, ni gharama kubwa kwa wao kufunga kuliko ku operate kwa minimum loss,.......tena serikali inakusanya direct na indirect taxes nyingi kwao watu kuliko mtumishi anae lipwa 800,000 paye yake ni 14% baada ya kukata basic ya 300k.......ila huyu GSM analipa excise duty property tax income tax Paye tena bidhaa zake zinalipishwa Vat wafanya kazi wake wote wanakatwa Paye gari zake zinalipiwa ushuru na kodi za mafuta. Muekezaji moja kama Bakhresa ni zaidi ya watanzania 1m wakawaida, tungekua na Bakhresa kama 100, nchi yetu ingekua katika kiwango kingine, sasa mwendazake alikua anapambana nao ili wafirisike uko anakopa kimya kimya ndo maana tuko kwenye hi economic stack.
Wewe ni mpumbavu kama mwendazake alikuwa anataka wakina bakhresa wafilisike hasingempa fursa ya kujenga kiwanda cha sukari bagamoyo ,muda mwingine ficha ujinga na upumbavu wako.
 
Hiyo 28k unaona ndio ilikua price halisi?

Umezungumzia nondo tu vipi kuhusu watu waliokuwa wakiporwa pesa zao ndani ya account na TRA wakituambia makusanyo yameongezeka?

Wale waliokwapuliwa pesa Bureau de Change je?

Hujazungumzia VFR ya 6% kwa wahitimu wa HESLB .

Pesa za mifuko ya jamii zilichukuliwa kwenda kwenye miradi isiyo na tija sababu ya sifa za mtawala.

Mwisho nikuambia inflation hua nyingi ikiwemo kutokuwepo urari wa demand & supply.

Purchasing power ya Tanzania iko chini ajabu mkaamini nchi iko uchumi wa kati huku watu hata mlo wengine ni shughuli.
Tunaongelea mfumoko wa bei za bidhaa muhimu!

Kwa hiyo hayo ndio yalikuwa yanasababisha bei za vitu isipande?

Nondo ilikuwa inauzwa elfu 19 leo ni elfu 28, twambie ni kitu gani kimetokea?
 
Hiyo 28k unaona ndio ilikua price halisi?

Umezungumzia nondo tu vipi kuhusu watu waliokuwa wakiporwa pesa zao ndani ya account na TRA wakituambia makusanyo yameongezeka?

Wale waliokwapuliwa pesa Bureau de Change je?

Hujazungumzia VFR ya 6% kwa wahitimu wa HESLB .

Pesa za mifuko ya jamii zilichukuliwa kwenda kwenye miradi isiyo na tija sababu ya sifa za mtawala.

Mwisho nikuambia inflation hua nyingi ikiwemo kutokuwepo urari wa demand & supply.

Purchasing power ya Tanzania iko chini ajabu mkaamini nchi iko uchumi wa kati huku watu hata mlo wengine ni shughuli.
Ngano tulinunua 1200 leo ni 1900 anakuja mjinga mmoja anasema eti ukame ndo umsababisha bei kupanda.
 
Ndugu zangu watz wenzangu nadhan mtakuwa nami juu ya kinachoendelea kwa sasa katika nchi yetu

Wafanyabiashara saiz wanajiamulia bei gan watupige na kila siku wanapandisha bei hasa wakijisikia kitu ambacho ni hatar sn kwa usalama wa nchi

Kibaya zaid pamoja na bei za vitu kupanda kila siku yan ni kama hatuna viongoz yan ni kama nchi inajiendesha yenyewe.....Rais yupo,wazir mkuu yupo,mawazir wapo lkn masikin ya Mungu hakuna hata mmoja mmoja anaeumia na kuumizwa kwa wananchi hawa watz ndio kwanza kila mtu yuko bize kuangalia anavunaje sehem aliyopo.

Hali hio sasa imetoka kwenye chakula imeenda had kwenye mawasiliano ya simu yan saiz wanajibadilishia tu vifurushi kila wanapojisikia. yaani kwa kweli hali ni mbaya sn tena sn na masikin ya Mungu watz hawa hatujui hata haki zetu tunasubir wakina CHADEMA au NCCR ndio watusemee bila wao kufanya hivo kila mtu yuko kimya hadi vile vyama vyetu vya kiraia ambavyo sijui viko wapi siku hizi.

Hebu imagine unakwenda sokon lkn unakuta kila mtu anauza vitu kwa bei yake na wala hata hawana wasiwas wao wanasema wanafidia kipind kigum cha mwendazake.

Hiv kweli Tanzania tumefikia huku kweli jaman,mbona inasikitisha sn jaman. Huyu mwananchi wa kawaida kabisa anaishije kwa hali hii?

Nadhan sasa umefika wakati wa wanachi wa Tanzania kuleta umoja wetu na kureact bila kujali utofaut wa vyama vyetu,dini zetu wala ukanda wetu na kuacha kutegema vyama vya siasa kutusemea katika matatizo yetu.

Serikal imeshindwa mapema sn katika hili la mfumuko wa bei hivo ni wakati wetu sisi wananchi kuondoa tofauti na kuwa kitu kimoja katika hali hii mbaya kabisa katika ustawi wa taifa na maendeleo ya wananchi

Naomba kuwasilisha
Wakati úchaguzi ulipoibiwa tuliufyata vipi sasa ujasiri tunaupata wapi
 
Katika uchumi bei ya vitu inakua determine na forces of demand and supply, sio serikali au wafanya biashara bei zikipanda jua tu uzalishaji wa vitu umeshuka au idadi ya watumiaji imeogezeka, Raisi ambaye amekaa miazi 9 madarakani hasihusishe na bei ya vitu kwasasa, mwendazake ndo alievuruga sector binafsi na kutimua wawekezaji binfsi. Tutakuja kupata unafu baada ya miaka kama 3. Ndotutaanza kumlaumu Raisi sio kwa kwasasa
Ila Serikali hiyo hiyo ambayo haihusikia na vitu kupanda bei, huwa inajitapa kila mara kuwa ime keep mfumuko wa bei chini..Yaani vikipanda isilaumiwe, ila vikipanda ichukue credit?
 
Tunaongelea mfumoko wa bei za bidhaa muhimu!

Kwa hiyo hayo ndio yalikuwa yanasababisha bei za vitu isipande?

Nondo ilikuwa inauzwa elfu 19 leo ni elfu 28, twambie ni kitu gani kimetokea?
Serikali ni ile ile waulizeni TRA waliosema ipo akiba ya kulisha nchi miezi 6 bila kufanya kazi aliyokua akisema Jiwe.

Na mama yenu kasema mna dollar za kutosha kusurvive miezi 6 serikali ni ile ile ya CCM muwaulize maana wasomu hawakupewa nafasi kipindi kile walipokua wakishauri kina Prof Assad na wengineo waliona bomu mbele nyie mkashangilia kuondolewa kwao sasa vuneni matunda yenu.
 
Maana yake ni afadhali zama za mwendazake. Waliofurahia kuondoka kwake waendelee kusherehekea basi!
Ndugu zangu watz wenzangu nadhan mtakuwa nami juu ya kinachoendelea kwa sasa katika nchi yetu

Wafanyabiashara saiz wanajiamulia bei gan watupige na kila siku wanapandisha bei hasa wakijisikia kitu ambacho ni hatar sn kwa usalama wa nchi

Kibaya zaid pamoja na bei za vitu kupanda kila siku yan ni kama hatuna viongoz yan ni kama nchi inajiendesha yenyewe.....Rais yupo,wazir mkuu yupo,mawazir wapo lkn masikin ya Mungu hakuna hata mmoja mmoja anaeumia na kuumizwa kwa wananchi hawa watz ndio kwanza kila mtu yuko bize kuangalia anavunaje sehem aliyopo.

Hali hio sasa imetoka kwenye chakula imeenda had kwenye mawasiliano ya simu yan saiz wanajibadilishia tu vifurushi kila wanapojisikia. yaani kwa kweli hali ni mbaya sn tena sn na masikin ya Mungu watz hawa hatujui hata haki zetu tunasubir wakina CHADEMA au NCCR ndio watusemee bila wao kufanya hivo kila mtu yuko kimya hadi vile vyama vyetu vya kiraia ambavyo sijui viko wapi siku hizi.

Hebu imagine unakwenda sokon lkn unakuta kila mtu anauza vitu kwa bei yake na wala hata hawana wasiwas wao wanasema wanafidia kipind kigum cha mwendazake.

Hiv kweli Tanzania tumefikia huku kweli jaman,mbona inasikitisha sn jaman. Huyu mwananchi wa kawaida kabisa anaishije kwa hali hii?

Nadhan sasa umefika wakati wa wanachi wa Tanzania kuleta umoja wetu na kureact bila kujali utofaut wa vyama vyetu,dini zetu wala ukanda wetu na kuacha kutegema vyama vya siasa kutusemea katika matatizo yetu.

Serikal imeshindwa mapema sn katika hili la mfumuko wa bei hivo ni wakati wetu sisi wananchi kuondoa tofauti na kuwa kitu kimoja katika hali hii mbaya kabisa katika ustawi wa taifa na maendeleo ya wananchi

Naomba kuwasilisha
 
Hali ya mparaganyiko wa uchumi duniani na hasa nchi maskini iliyoletwa na majanga ya korona na mabadiliko ya tabia nchi ni mambo ambayo yako planned na mawakala wa shetani ili kuweza kuwatumikisha binadamu chini ya mamlaka ya ibilisi. Kuna tukio moja kubwa ambalo wamepanga kulitekeleza hivi karibuni linaitwa 'cyber-crime pandemic' ambalo litavuruga mifumo ya mawasiliano ya kimtandao ulimwenguni na kuathiri shughuli za serikali za mataifa mbalimbali, mabenki, mashirika makubwa nk. na hivyo kupelekea hali ya maasi na machafuko duniani, maana uchumi wa mataifa duniani utakuwa umeanguka kabisa. Lengo lao ni kutawala dunia nzima chini ya mamlaka moja ya mpinga kristo, kumwekea kila binadamu chapa ya utambulisho (digital identity) ili iwe rais kufuatilia, kuthibiti, na ku manipulate tabia na mienendo ya watu wote duniani kwa kufuata malengo yao........dunia inaelekea kwenye nyakati ngumu kabisa kuwahi kushuhudiwa, nyakati zinazoashiria mateso ya dhiki kuu ambapo dunia itakuwa chini ya utawala wa mpinga kristo ambapo wale watakaokataa kupokea alama ya mpinga kristo (666) watapitia mateso makali sana na yatakayojaribu imani yao kwa Mungu Mkuu. Tuombe sana tuweze kupita majaribu ya hiki kipindi tukiwa ni washindi........AMEN.​
 
Watu wengi hawafahamu kitu kimoja bingwa na kinara wa kufanya haya mambo ni serikali yenyewe maana kila mwaka mpya wa fedha zile stori tunazizisikia kwamba serikali itakusanya trilioni 24, 27, 36 mwaka fulani ukiiangalia hio trend unakuta hizo ni kodi na tozo mbali mbali kama unafanya biashara hili utalijua i.e mwaka huu umekadiriwa 300,000 mwakani 400,000 au 500,000 kwa mwaka najua kuna wengine watasema awamu iliopita ilikuaje? Kipindi kile wengi wanafahamu jinsi mtu alivyokua anaingilia sekta binafsi na kuiendesha kwa rimoti awamu hii watu wameshamsoma kiongozi huyu kwaio wanajiamulia tu wakioandishiwa kodi wanafidia..pia watu walidhulumiwa sana nadhani ndo reactionya kipindi kile kufidia magepu yaliliyoachwaga...😀😀😀
 
Mtwara kilo ya nyama 12,000 kwa mujibu wa taarifa ya habari ITV jana usiku!

Katika uchumi bei ya vitu inakua determine na forces of demand and supply, sio serikali au wafanya biashara bei zikipanda jua tu uzalishaji wa vitu umeshuka au idadi ya watumiaji imeogezeka, Raisi ambaye amekaa miazi 9 madarakani hasihusishe na bei ya vitu kwasasa, mwendazake ndo alievuruga sector binafsi na kutimua wawekezaji binfsi. Tutakuja kupata unafu baada ya miaka kama 3. Ndotutaanza kumlaumu Raisi sio kwa kwasasa
Mmmmh sidhan aiseee
 
Ndugu Field Marshal Tantawi, kwa tathmini ndogo niliyo ifanya mara baada ya kutembelea mikoa ya Kusini mwa Tanzania mwishoni mwa mwezi Disemba nauona huo ni mwanzo wa mfumuko. Bado nafaka na mazao ya chakula nayo yatapanda tu, Tanzania uzalishaji ni mdogo huu mwaka. :D na nashukuru mama ameanza liona hilo ndio mana Jana aliwasihi Kilimanjaro waanze hifadhi chakula hali sio nzuri huko mbele.
Kaz tunayo aisee mwaka huu
 
Back
Top Bottom