Kimenuka Dodoma kambi ya upinzani wasusia, watoka nje bungeni

Wabunge wa CHADEMA msigeuke nyuma. Waacheni CCM waendelee kujadili peke yao, na sielewi wanajadili nini maana walishaukubali huu muswada. A waste of time.
 
CCM cannot dictate even katiba inayohusu wananchi...wananchi ndio wenye say katika hili...viva to CDM MPs, mnawakilisha wananchi vema...we shall fight for katiba mpaka tuipate mpya na sio viraka vya kupachikwa...a new wineskin for a new wine...maana ukiweka new wine into an old wineskin, it cannot hold/resist...itapasuka....
 
hivi cdm wanaona hiyo ndiyo njia pekee????, wakati umefika wa kutazama upya namna ya kukabiliana na hoja unapoona kuna tatizo

Toa njia mbadala sio kusema kila siku wanaona hiyo ndioyo njia pekee, hebu tupe njia nyingine mkuu.
 
Wametoka tena leo na Spika kasema wanaenda kunywa Chai..kwa hisia Zangu speaker anaanza kulegea kwa kuelewa umuhimu wao na ndiyo maana amenywea kwenye kusema na kutetea wanaenda kunywa Chai...patamu kweli..na ninadhani hili la Chadema ni muhimu lipewe nafasi kubwa kufikirika

Spika tumbo joto, halafu anasikia kua kutakuwa na maandamano nchi nzima kuhusiana na jukwaa la katiba patamu hapo.
 
Chadema hongereni sana tuko nyuma yenu SISI wananchi, tena kwa hasira tulizo nazo kwa sasa tunataka muswada utakatamuka nafasi ya TanganyikaTundu Antiphas MughwaiLissu (MB) ametufumbuia kwa kusema"ni ujinga kudhani kwambaVisiwa vya Zanzibar vitaendelea kuwa na maamuzi na ushawishi mkubwa katikamasuala yasiyokuwa ya Muungano ya Tanganyika kwa sababu utaratibu wa asilihaujawahi kufanya maslahi ya Visiwa hivyo kuwa bora zaidi ya maslahi yaTanganyika!



 
Ni kweli kabisa tuwaache ccm watengeze ya kwao na sie tusio ccm na watanzania wote wasio na vyama tutatengeneza ya kwetu...shikilieni hapohapo CDM tupo pamoja
 

Ndio taabu ya kuwa na Spika ambaye ni matokeo ya akili za watu kama kina Yusufu Magamba na Ng'omba la Mwiru... fikra mgando na hofu ya mabadiliko! Na yote haya ili kuwafurahisha wazanzibari. KIROBOTO KWELI KWELI!
 
Sasa waliomba kura za wananchi kwenda kuwaakilisha bungeni kufanya nini? kila siku wapo kwenye maandamano, mara jela na kugomea vikao vya bunge. Chadema wanajiharibia wenyewe, wangechukua muda huu ambao CCM wapo weak kujidhatiti kwa 2015.
 
hawa ni panya ndio maana wanatoka toka ..lakini mwisho wa siku tutawakuta wamejificha chini ya madaraja
 
it's now or never,tusipoingia mitaani kwa wingi kupinga mswaada huu,we are f**ked up forever.
 
hivi cdm wanaona hiyo ndiyo njia pekee????, wakati umefika wa kutazama upya namna ya kukabiliana na hoja unapoona kuna tatizo

Mbugi,

Do not be narrow minded!! Hii issue si ya CDM ni ya kitaifa............... Anyway, hivi ulishaona CCM wanashindwa na wapinzani hoja?? Hata CDM waje na hoja gani wana CCM hawatakubali na hilo linajulika. CDM wanachokifanya ni kuwatangazia wananchi wenye akili kama sisi (siyo wewe, Rejeo, FF, MS...) msimamo wao. Kama tutashindwa kuwaelewa na kuwaunga mkono leo then tusije walaumu siku za mbeleni. CCM hata wang'ang'anie hiyo katiba yao kuna siku bado watatoka tu madarakani na hawatarudi tena kwa kuwa katiba wanayoing'ang'ania itawakandamiza wao. Mfano mingi tu mizuri tunayo..... UNIP (Zambia), KANU, Malawi...nk.
 
tatizo la CCM hawataki kukubali au kuamini kwamba mambo yameshawageukia. nawashauri tu wakae pamoja wamalize hili jambo ubabe kwa sababu wao wana wabunge wengi na wao wanaongoza serikali - hakusaidii kitu. Kwa sasa amani ya nchi hii ipo mikononi mwao.
 
Sasa waliomba kura za wananchi kwenda kuwaakilisha bungeni kufanya nini? kila siku wapo kwenye maandamano, mara jela na kugomea vikao vya bunge. Chadema wanajiharibia wenyewe, wangechukua muda huu ambao CCM wapo weak kujidhatiti kwa 2015.
hata hicho wanachofanya ni namna nyingine ya kuwatetea na kuwawakilisha watu wao maana yake sasa hivi umati wote wawaliowawakilisha nao wangekuwa wamelisusia bunge hivyo usifikiri hakuna wanachokifanya kumbuka sio wendawazimu hadi wakaamua kutoka hata ungekuwa wewe ungefanya moja kati ya wanayoyafanya utajisikiaje unapotaka haki yako na kunyimwa live na kusemwa vibaya watu waliomba miongoza wangesikilizwa ndio spika aikatae sasa kuwanyima kuwasikiliza ni ubabe au WOGA.

mi naamini mabadiliko si kitu raisi na siku zote hupingwa hivyo CDM na wote wajitaidio kuleta mabadiliko wasikate tamaa wanachohitaji ni support ya kutosha katiba si kwa maslahi yao tu bali yetu sote hivyo kama mchakato wa kuuandaa mswada ndio unapelekwa hivi je mbele huko itakuwaje kazi tunayo watanzania
 
Ndugu Nape yeye anasema hv!

Nape Nnauye
‎

[h=6]"HIVI CHANDIMU MNAPOTAKA KUPORA HAKI YA WANANCHI KUAMUA KATIBA YA NCHI KAMA SI UHUNI NI NINI" suseni, sie tumethubutu, tumeweza na tunasonga mbele...[/h]
 
Watoke tu, wakipenda wasirudi tena ili tubaki na wabunge wapenda AMANI.
 
Kutoka nje ya bunge ni kuwanyima wananchi waliowachagua haki yao bungeni.

Tujiulize hayo maamuzi na kutoka kwa wale waliwatuma na kuwingiza bungeni kuwawakilisha au kutoka kwa viongozi wa vyama vao vya siasa?
 
Back
Top Bottom