Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,852
Hiyo tax ni kubwa mno, wanapeleka wapi hela yote hiyo..
Tatizo la wabongo wanaona hili na watakaa kimya tu watalalamikiana wenyewe kwa wenyewe kitaishia hapo, nchi za watu wanagoma ujinga kama huu hadi mambi yanarekebishwa, hawa jamaa mnawalipa hela nyingi sana za bure afu hamna wanachofanya zaidi ya kujilipa wenyewe, Ukianza utasikia wabongo wanajibu ohh nchi yetu ya amani, ohh wanawake na watoto wataumia, utadhani umewambia unashika mtutu kwenda vitani, swala ni kuandamana kugoma ujinga huu... Bongo viongozi wanawapeleka watu ka mazezeta kabisa, na wanavoona mnawaogopa wanakula bata tu
Mkuu umesema ukweli! Nchi zingine watu huandamana ata kupanda kwa bei ya mkate na maziwa tu! Leo Hii Umeme umepanda bei karibu Mara mbili na watu wako kimya tu! Tena wamejazana kujadili thread za ujinga za kesi ya ZZK na kusahau kabisa Hii kadhia ya Umeme!
Ni hatari sn! Vitu vitapanda bei sasaivi na maisha yatakua magumu sn! Na ndio maana maofisini rushwa na ubadhilifu na ukosefu Wa maadili havitoisha. Yani Hii ni kuanzia chini mpaka juu na ni sekta binafsi Na ata za serikalini! Mtu unalazimishwa upokee rushwa au uwe mwizi ofisini au usiwajibike ofisini kutokana na ugumu Wa maisha na kipato kidogo na pia tusisahau viwandani Km bidhaa zao hazitopanda bei basi bidhaa zisizokizi viwango zitakua nyingi sn na kuathiri afya ya mtumiaji! Yani Hali ni mbaya sn!