Kilio cha Mlalahoi: Kupanda kwa bei ya umeme wanasiasa mko wapi?

sasa hv mwalalamika itakapofika 2015.mabaliko hamfanyi kwa kudanganywa na kamwaka kamoja.tuliosoma uchumi kuna sera mbili hapo zatumika kila kabla ya mwaka 1 wa uchaguz nayo ni expansion policy, na contraction policy baada ya kuingia madarakani.badilikeni watanzania acheni kushabikia vyama wapimeni viongoz wenu kwa yapi waliyoyafanya wakiwa bungeni miaka mitano? matokeo ndo hayo,kupandishiwa gharama za umeme,mawasiliano,afya duni na mengineyo. CNA CHAMA. KIONGOZ MCHAPA KAZ ANAPEWA RIDHAA AWE CCM AU CHADEMA AU CAF AU TLP.AHSANTEN SANA.
 
Hapo una deni la zamani, hizo fixed amount, umeme ulionunuwa ni huo 2,676.72 tu.

Deni la zamani? Lipi hilo? Lipa Umeme Kadiri Unavyotumia = LUKU. Deni linatoka wapi? Umeshanunua umeme mwezi huu? Hili ni bomu linalochemka. It is just unbearable.
 
ukienda kununua tena umeme wa sh 10.000 utapata unit 26. kabla ya trh 1 ungepata unit 37.kiukweli umeme umepanda bei saana yaani Unit 8.70 kwa 10,000 inakaribia bei ya unit 1 kuwa shs 1,150. Dawa ni kujipanga kununua sola
 
Facts ni facts na ahsante sana kwa hilo nami umenielimisha na wala sina tatizo huko.

Sasa unalalamika nini? umeme ndio umeshapenda. Kama unaona gharama zinazidi punguza matumizi ya umeme au vumbuwa umeme wako wa rahisi au kata matumizi mengine uende sambamba na mabadiliko hayo. Njia za kufanya nyingi badala ya kukaa kulalamika bila kutafuta ufumbuzi wa tatizo kama ni tatizo.

Kulalamika lalamika inasaidia nini? halafu umeme ukikatika-katika mnalalamika, zinapotakiwa pesa za ziada muwe na umeme wa uhakika mnalalamika.

Hizo shule mlizokwenda badala ya kuwafutia ujinga zimewaongezea ujinga.

Ungekuwa karibu ningekuwasha. Unakera. "Vumbuwa umeme wako wa rahisi?". You really do not know what you are doing and I dare to say, this society will be better off without you. Just go away.
 
Deni la zamani? Lipi hilo? Lipa Umeme Kadiri Unavyotumia = LUKU. Deni linatoka wapi? Umeshanunua umeme mwezi huu? Hili ni bomu linalochemka. It is just unbearable.

Kuna deni la kila mwezi fixed charges ambazo lazima uzilipe na hizo hazihusiani na umeme unaotumia, aka Service charge aka fixed rate aka fixed amount.

Kumbuka, kuna watu wana madeni kabla hawajawekewa LUKU na wengine wanayalipa mpaka leo.
 
Service charge ilikua ni kwa ajili ya wadoma meter zamani.
Siku izi hawapo, je nani anakula na hawara yake iyo service charge?
 
Kuna deni la kila mwezi fixed charges ambazo lazima uzilipe na hizo hazihusiani na umeme unaotumia, aka Service charge aka fixed rate aka fixed amount.

Kumbuka, kuna watu wana madeni kabla hawajawekewa LUKU na wengine wanayalipa mpaka leo.

Hiyo ilikua ni kwa ajili ya wasoma meter. Siku iz hawapo lakini bado tunatozwa.
 
Kuna deni la kila mwezi fixed charges ambazo lazima uzilipe na hizo hazihusiani na umeme unaotumia, aka Service charge aka fixed rate aka fixed amount.

Kumbuka, kuna watu wana madeni kabla hawajawekewa LUKU na wengine wanayalipa mpaka leo.

Sijaelewa. Hiyo fixed rate ambayo haihusiani na umeme unaotumia ni shilling ngapi? Ina maana wateja wote wa Tanesco wanalipa kiasi kinachofanana kwa mwezi?

Na deni la kabla ya kuweka Luku linajumuishwa kwenye utaratibu wa malipo wa Luku? How? Something is wrong here.
 
Ungekuwa karibu ningekuwasha. Unakera. "Vumbuwa umeme wako wa rahisi?". You really do not know what you are doing and I dare to say, this society will be better off without you. Just go away.

Kabla hujaanza kuniwasha kwanza kazime umeme wako unaoulalamikia. Halafu njoo ujaribu kuniwasha, angalia nisikuwashe wewe tu. Mimi nipo kwa sasa Lumumba na Udoe Ghorofa ya tatu apartment namba 301 na 302, na ntakuwepo mpaka Jumatatu, ukichelewa karibu sana shambani kwangu Mkuranga, hapa tutakufundisha namna ya kujipatia umeme mbadala wa gharama nafuu sana.

Tuna umeme wa jua (solar), tuna umeme wa upepo (wind mill), tuna umeme wa jenereta, tuna umeme wa mavi ya ng'ombe na binaadam na taka zote za nyumbani pia tuna umeme wa TANESCO. Huu wa TANESCO kwetu ni back-up tu, na hatujautumia leo miaka miwili.

Na hivi sasa mume wangu naona anafanyia modification jenereta letu ili liwe linatumia umeme wa gongo. Anasema hii mipapai tulionayo shambani inatosha kabisa kutupatia gongo la kuendeshea jenereta la KVA 100 bila wasi wasi kwa mwaka mzima na tutafaidika kuliko kuuza mapapai, Nnajuwa baada ya siku mbili tatu atakuwa kishalimaliza kwani ni mtundu sana kwenye mambo hayo.

Njoo ujifunze njia mbadala za kujipatia umeme wa gharama nafuu na pia tutakufunda namna ya ku-save umeme.
 
Sijaelewa. Hiyo fixed rate ambayo haihusiani na umeme unaotumia ni shilling ngapi? Ina maana wateja wote wa Tanesco wanalipa kiasi kinachofanana kwa mwezi?

Na deni la kabla ya kuweka Luku linajumuishwa kwenye utaratibu wa malipo wa Luku? How? Something is wrong here.

[h=3]Tariff Categories[/h]
Domestic Low Usage Tariff (D1)This category covers domestic customers who on average have a consumption pattern for 50 kWh. The 50 kwh are subsidized by company are not subjected to service charge. Under the category any unit exceeding 50 kwh is charged a higher rate up to 283.4 kWh. In this tariff category, power is supplied at a low voltage, single phase (230 V).
General usage Tariff (T1)This segment is applicable for customers who use power for general purposes: including residential, small commercial and light industrial use, public lighting, and billboards. In this category the average consumption is more 283.4 kWh per meter reading period. Power is given at low voltage single phase (230), as well as three phase (400V).
Low voltage maximum Demand (MD) usage tariff (T2)Applicable for general use where power is metered at 400V and average consumption is more than 7,500kWh per meter reading period and demand doesn't exceed 500KVA per meter reading period.
High Voltage Maximum Demand (MD) usage tariff (T3).Applicable for general use where power is metered at 11KV and above.
 
Kwi kwi kwi kwi kwi. Elimu ni elimu tu, hata Elimu MULUGO ni Elimu tu!!!! Haya banaaa :):) acha division 5 ziongezeke nchini.

Hakuna elimu akhera wala dunia, elimu ni elimu tu. Usiwe katika waliodanganyika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom