Nyangabo2022
Senior Member
- Nov 13, 2022
- 103
- 130
- Thread starter
- #61
Ahsante kwa michango yenu wataalam, hapa nmeamua nchukue mbegu kutoka kwa wakulima njarbu heka tano nione km nitapata manufaa
Tafadhali check inbox yako, Nina mazungumzo nawe huko.Watu wanapenda sana kuwakatisha tamaa wakulima wapya. Yaani kivipi utumie milioni tatu kwa heka?
Sawa nimekutumia mawasiliano mkuuTafadhali check inbox yako, Nina mazungumzo nawe huko.
Pole sana mkuu.Wanajamvi na hasa wakulima wa vitunguu naomba msaada wetu.
Kwenye kitalu changu cha vitunguu maji nilianza kuona majani ya vitunguu yakinyauka na kuwa meupe. Uchunguzi kwenye udongo umeonyesha kuwepo kwa wadudu (funza/ viwavi) wanaokula miche kwenye mizizi
View attachment 2979025
ndani ya udongo.
Angalia video hii fupi (miche ina wiki 4 sasa- naogopa nisije kujikuta nahamishia wadudu hawa shambani)
Sasa na wewe chukua plan hiyo upige pesa mara 5 Kwa kuanzia, Acha kulala piga kazi sio kusifia Sifia tuuNimependa Kuna. Rafiki yangu alilima hekaa 4 alitumia 12mil kaja kuvuna 60mil
Mada inanihusu hii. Naweka kambi hapa. Mtoa mada ubarikiwe, nami nina plan ya kulima hiyo kitu this yea