124 Ali
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 7,802
- 5,494
Zenji hayo yanaanziz 3500 rejareja sijui gharama za usafiri na kipande shs 500 ningekuwa najua ku upload ninge tupia kapicha cha kipande cha mia tano ukione kamahujakodi sealink utuletee mitikiti yako babu nene ya kilo 5!Mbona mimi nipo mwanza lakini ni nimekosa soko. Mtu anakuja shambani anataka anunue kwa sh 800 kwa tikiti moja wakati ni makubwa kuanzia kilo 5 mpaka 12.