Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

Call me for free 0765252600 agric consultant

Mbegu ya Daytona F1 and Julliana F1 Inasoko kubwa sana nchini na nje ya nchi .
In tamu sana early maturing na pia in kubwa kubwa! Interested ? Fon me ASAP
 
mbegu nzur ni za hybrid.
1. Pata negra inazaa vizur.
2. Sentinel mbegu ya rang ya pundamilia 2nda lenye umbo la yai
3. Sukari f1nayo nikama s3ntinel
Bei 1.pata negra 1000 seeds sh. 42,000
Sentinel 1000 seeds sh 50,000
Sukari F1 25g -17.000
50g-30.000

100g -55.000
500g- 220.000

Samahani kama hutojali, unaweza kutujuza ni mbegu ipi inalipa zaidi kwa hapa Tz. Pia ukiweza weka jina la mbegu na picha ya tikiti husika kwa kila mbegu. Natanguliza shukrani
 
interesting thread...Pongezi nyingi kwa kila aliyeweka ujuzi ama mchango wake kwa namna moja ama nyingine.

Nina maswali kadhaa naomba msaada, natamani kujua kuhusu mbolea. Mbolea aina gani zinatumika? Madawa je? Zinapatikana wapi? Mimi niko DSM na nategemea kulima Bagamoyo.

Sambamba na hilo naona wachangiaji wengi wameegemea upande wa faida zaidi, Je changamoto za kilimo hiki ni zipi hasa (nimeona G3T amezigusia kidogo)?. Ni vyema kufahamu changamoto mapema ili kutafuta njia ya kuziepuka au kupunguza athari zake kabla ya kuanza mradi.

Naomba maoni yenu wadau Edmund George Upina Mama Joe (Tumekutana tena pande hii hahaaa..), BabM at all. ASANTENI
 
Last edited by a moderator:
Kwa ujumla udongo wa tifutifu wenye rutuba na usiotuamisha maji hufaa sana kwa tikiti.

Tikikiti halipendi udongo mzito kama wa mfinyanzi na pia huchelewa kukomaa zaidi ya udongo hafifu. Mmea huweza kustawi vizuri kama maji yatakuwa yanapatikana ndani ya meta moja toka juu. Udongo ukiwa na acid hafifu au kati na kati hupendelewa zaidi. Shamba lilimwe vizuri.

Mbolea ya samadi au mbolea vunde inatakiwa kuwekwa kipindi hishi ili ichanganyike vizuri na udongo. Kutegemea na aina ya udongo kwenye ekari moja tani kuanzia 10 za samadi huhitajika. Kwa ujumla mbegu huoteshwa moja kwa moja shambani japo pia unaweza kusia mbegu kitaluni halafu ukahamisha.

Kwenye shimo moja otesha mbegu 2 au 3 baadaye utang'oa na kubakisha mche mmoja. Umbali kati ya ya mche na mche ni sentimeta 100 hadi 120 kutegemea na mbegu kati ya mistari ni sentimeta 150. neggirl
 
Kwa ujumla udongo wa tifutifu wenye rutuba na usiotuamisha maji hufaa sana kwa tikiti. Tikikiti halipendi udongo mzito kama wa mfinyanzi na pia huchelewa kukomaa zaidi ya udongo hafifu. Mmea huweza kustawi vizuri kama maji yatakuwa yanapatikana ndani ya meta moja toka juu. Udongo ukiwa na acid hafifu au kati na kati hupendelewa zaidi. Shamba lilimwe vizuri. Mbolea ya samadi au mbolea vunde inatakiwa kuwekwa kipindi hishi ili ichanganyike vizuri na udongo. Kutegemea na aina ya udongo kwenye ekari moja tani kuanzia 10 za samadi huhitajika. Kwa ujumla mbegu huoteshwa moja kwa moja shambani japo pia unaweza kusia mbegu kitaluni halafu ukahamisha.
Kwenye shimo moja otesha mbegu 2 au 3 baadaye utang'oa na kubakisha mche mmoja. Umbali kati ya ya mche na mche ni sentimeta 60 hadi 90 kutegemea na mbegu kati ya mistari ni sentimeta 100 hadi 180. neggirl

Asante sana mtaalam. Kupitia uzi huu nimeona majina tofauti ya mbegu (aina za matikiti) mfano sukari f1, sentinel n. K.

Je ni mbegu ipi yenye faida kulingana na masoko tuliyonayo?
 
Last edited by a moderator:
Jamani habarini za wkend.., naomba kujua mche wa tikiti maji unaweza kuvunwa mara ngapi matunda yake?

Kwa mfano embe zinavunwa kila mwaka, ndizi unavuna mara moja tu na mche unakwisha kazi yake. Vipi kwa matikiti maji, unavunwa mara ngapi na kwa kipindi/interval gani?

Nataka kulima, yanalipa sana nisaidieni tafadhali.

mambo vp mkuu!
naomba kujua ukubwa wa goody ball, bei yake sokon, muda inaochukua mpaka kuvunwa na ubora wake ukilinganisha na sugar baby
 
Nipm sasa hivi nikupe namba ya mtu Anatolia Hiyo na kufanikiwa ukiongea naye kwa simu atajibu maswali yako tote,siwez weka hapa namba yake bila ruksa Kama uko serious ni pm nikupe namba harafu uje kuleta majibu umu

Mkuu Money Stunna kindly naomba namba ya mtaamu wa tikiti namie nataka nijitose humo
 
Last edited by a moderator:
Hizi ni gharama za kuzalisha tikiti ekari moja. Kwa kutegemea na eneo na utunzaji gharama hizi zinaweza kupungua.

Udongo wenye rytuba kwa mfano hautohitaji mbolea nyingi. Hivyo anayetaka kulima anaweza kutumia hii kupima anatakiwa ajiandae kiasi gani. Nitaendelea kufafanua kuhusu mbolea na magonjwa nikinafasika
 

Attachments

  • COST OF WATER MELON_09_2013_Swahili.pdf
    182.5 KB · Views: 652
Asante sana mtaalam. Kupitia uzi huu nimeona majina tofauti ya mbegu (aina za matikiti) mfano sukari f1, sentinel n. K.

Je ni mbegu ipi yenye faida kulingana na masoko tuliyonayo?

Ningefurahi sana pia kama tungepata majibu ya hili swali, pia kujua kati ya mbegu zote zilizotajwa ni ipi bora zaidi kwa utamu na ukubwa, ipi isiyoshambuliwa sana na magonjwa, ipi ya muda mfupi zaidi n.k Cc: Asprin Malila riltz Mama Joe na wengine
 
Last edited by a moderator:
Jamani habarini za wkend.., naomba kujua mche wa tikiti maji unaweza kuvunwa mara ngapi matunda yake?

Kwa mfano embe zinavunwa kila mwaka, ndizi unavuna mara moja tu na mche unakwisha kazi yake. Vipi kwa matikiti maji, unavunwa mara ngapi na kwa kipindi/interval gani?

Nataka kulima, yanalipa sana nisaidieni tafadhali.
Plz lets communicate brow. Nahitaji kujifunza toka kwako. Nitakupm contacts zangu plz
 
Jamani habarini za wkend.., naomba kujua mche wa tikiti maji unaweza kuvunwa mara ngapi matunda yake?

Kwa mfano embe zinavunwa kila mwaka, ndizi unavuna mara moja tu na mche unakwisha kazi yake. Vipi kwa matikiti maji, unavunwa mara ngapi na kwa kipindi/interval gani?

Nataka kulima, yanalipa sana nisaidieni tafadhali.

na mimi nataka nijaribu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom