Habari ndugu wanajamvi kwanza nibishe hodi kwasababu mimi ni mgeni umu,
baada ya salam ningependa kuomba msaada kwa wataalam au mtu yoyote mwenye uzoefu wa kilimo cha mapapai, mimi ni mwajiriwa ila nimetafakali sana nimeona niingie katika shuguli za kilimo ili nijiongezee kipato, nipo dar nimepata shamba maeneo ya mwanzo mgumu chanika.
nimevutiwa na kilimo iki kwa sababu nimepitiapita dondoo zake ktk mitandao umu, ila bado sijajitosheleza namna sahihi ya kulima zao ili, tatizo langu kuu jinsi ya kutunza, mbegu bora zenye soko zuri na masoko, asanteni sana naomba kuwasilisha.
baada ya salam ningependa kuomba msaada kwa wataalam au mtu yoyote mwenye uzoefu wa kilimo cha mapapai, mimi ni mwajiriwa ila nimetafakali sana nimeona niingie katika shuguli za kilimo ili nijiongezee kipato, nipo dar nimepata shamba maeneo ya mwanzo mgumu chanika.
nimevutiwa na kilimo iki kwa sababu nimepitiapita dondoo zake ktk mitandao umu, ila bado sijajitosheleza namna sahihi ya kulima zao ili, tatizo langu kuu jinsi ya kutunza, mbegu bora zenye soko zuri na masoko, asanteni sana naomba kuwasilisha.