LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 2,958
- 5,564
vitu vingi kwa pamoja kaka...
ni kweli shamba ni heka 7 lote linatakiwa liwe na mbogamboga na matunda tu.vitu vingi kwa pamoja kaka...
Miche jaribu chuo cha kilimo tengeru Arusha na sua Morogoro,ila kua na hakika umeotesha mbegu bora nunua mbegu za papai za kampuni ya mbegu east west wanauza packet ya mbegu nane tsh 2000 na uhakika yote majike ,kununua tu miche watu wote si waaminifu unaweza kula hasara ,papai za east west ndio hio moja wapo niko nao pichani hapo juushmba langu lipo bagamoyo kijiji cha kiwangwa.. mwenye contacts za wauzaji wa miche bora ya papai anisaidie ASAP
Hii mada ya migomba!!Papai inastawi zaidi wapi. Huku arusha sijawahi kula papai tamu..yaani hayana ladha kabisa. Na ukipata tamu utaambiwa limetoka Tanga.
Kwangu sio ya migomba. Inasema pata ushauri kuhusu kilimo cha mapapai. Angalia vizuriHii mada ya migomba!!
Arusha pia zinakubali sema tu Arusha sio wapenzi wa mapapai ndio maana hata wafanyabiashara hawasumbuki sana kutafuta mazuri bora papai basi akiuza poaPapai inastawi zaidi wapi. Huku arusha sijawahi kula papai tamu..yaani hayana ladha kabisa. Na ukipata tamu utaambiwa limetoka Tanga.
kweli mumyKwangu sio ya migomba. Inasema pata ushauri kuhusu kilimo cha mapapai. Angalia vizuri
Mkuu nimekubali Maelezo yako....All in all kilimo bora ni kile market oriented,tafuta soko kabla ya kulima chochote
mNahitaj mbegu bora za mapapai nipo Mwanza
tafute huyu atakusaidia maaana yeye anauza miche au mbegu ni wewe mwenyewe +255 715 044 777Nahitaj mbegu bora za mapapai nipo Mwanza
Miezi tisa unavunajamani naomba msaada papai linachukua muda gani kupanda hadi kuvuna hasa kwa mbegu zilizozalishwa maabara (hybrid)
Aisee hizi papai mpaka raha yaani chinichini,duhhhMiche jaribu chuo cha kilimo tengeru Arusha na sua Morogoro,ila kua na hakika umeotesha mbegu bora nunua mbegu za papai za kampuni ya mbegu east west wanauza packet ya mbegu nane tsh 2000 na uhakika yote majike ,kununua tu miche watu wote si waaminifu unaweza kula hasara ,papai za east west ndio hio moja wapo niko nao pichani hapo juu
Navyo ona mm soko Lina msimu pia naweza kwenda sokon nikakuta bamia ndo inaitajika sana ila mpaka nilime bamia maybe miezi3 ukipeleka sokon unakuta sio itaji la soko or nakosea kuwazaMafundisho mwafaka kabisa kutoka kwa Shosi. Aina ya mbegu na aina ya mazao tukizingatia tutaondoa malalamiko ya soko.Tutambue kwanza soko linataka nini ndipo tuzalishe tuache kuzalisha ndipo tunaanza kutafuta soko.]