Mchango wako wewe ni upi katika kuhakikisha kila mtanzania anapata maisha bora?Au unasubiri kikwete/serikali ikugawie pesa, ndipo uwe na maisha bora? Maisha bora hayaletwi na mtu mmoja ,bali yanaletwa na watanzania wote wenye nguvu na akili timamu kwa kufanya kazi kwa bidii
Ningeambiwa leo kuwa hali hii itarekebishwa kwa mtutu wa bunduki, sina hakika kama nitasita kushika mtutu...
OOOH NO JAMANI MBONA CHOZI LIMENIPOROMOKA KWENYE HII PICHA...
:A S confused: