Negotiator
JF-Expert Member
- Aug 9, 2010
- 303
- 44
kaulizwa anaonaje hali ya nchi badala ya kutoa hali halisi ya maisha ya watz anasema watu wana mwamko na shamrashamra hivyo atashinda
Dakika kumi anajibu kwa nini wakulima wanauza mazao kwa bei wanazopenda wanunuzip- mama yangu huyu ni kilaza sana na hajui kabisa midahalo
Bashe je alikuwa mtuhumiwa au alikuwa amehukumiwa?
kaulizwa anaonaje hali ya nchi badala ya kutoa hali halisi ya maisha ya watz anasema watu wana mwamko na shamrashamra hivyo atashinda
Naomba link ili ikiwezekana niangalie mwenyewe maana wachakachuaji wa habari hapa JF wamezidi.