mAKAMBA YUPO,AMEKAA KAMA MGANGA WA KIENYEJI!!!
JK-Tumeanzisha stakabadhi ghalani na tumelipa madeni ya cooperatives. kuna mazao hayao kwenye vyama vya ushirika mfan mahindi lkni hifadhi ya taifa inanunua
Mi kanikera jinsi alivyojibu ishu ya mramba? Very low kwa kweli!
nilikuwa chumbani kwa mama yako.
Hayo mambo ya kuiachia Idara ya hali ya hewa...Hana mvuto? hivi anaongelea hali ya nchi au anazungumzia uchaguzi??? mambo ya mvua na huu.... anaouzungumzia unakujaje? mambo ya miradi yanakuje tena hapa? i dont understand this broda
Kudesa muhimuVipi unakula desa au?
Vipi unakula desa au?