Elections 2010 Kikwete on ITV, maswali na majibu toka kwake

Aisee kweli dunia hii jamani, huu ni mdahalo boring kuliko yote niliyowahi kuona uchaguzi huu
 
Kwa jinsi BIlal alivyokaa anaonekana kama anaswali huyu bwana asianguke tena hadharani
 
Hivi anayoyaeleza kuhusu wizi wa kura si ni ya siku zote na kura bado zimekuwa zikiibiwa?
 
sijapenda hata kidogo anavyotetea sera yake ya kuwanadi watuhimiwa wanaogombea ubunge wakati wana kesi mahakamani boring :tape:

Sio hujaoenda na hutoendelea kupenda jamaa ni kilaza sasa afanyaje kama ndo uwezo wake umeisha hapo. We mtu anasema foleni za Dar ni kielelezo cha maendeleo kweli mtu huyo? Kwahiyo huku kwa wenzetu kwenye miundombinu ya uhakika mpaka foleni hamna manake hawajendelea?
 
leo sijui kama utapata Link naona people hawako serious na huu mdahalo teteteteteteh:thinking:

CCM wakizima umeme wakati wa Slaa mnalalamika, sasa nyie hamtaki ambao hawako kwenye TV wamsikilize JK, sawa, tutasubiri kwa Michuzi.
 
wamiliki na hao walio wakilisha vypmbo vyao
wanalamba viatu vya Kikwete wamepewa maswali utafikili misukule fulani audience sijui kaitoa wapi,sio mchanganyiko kabisa maajabu kweli hatuna raisi

Hahaha kama swali la Masako.. eti utawasaidiaje wakulima wanaoonewa na wanunuzi kwa kupewa bei ndogo....of aaaaalll the critical issues unauliza hili ambalo tayari alishatoa miongozo mambo ya stakabadhi ghalani, Grain reserves e.t.c. ah
 
Hivi hakuna mtu wa kumuuliza kwa nini Lowassa na kina Karamagi (Richmond) hawa kufikishwa mahakamani?
 
Ha ha ha namsubiri Mjengwa ajibu na huu ni mdahalo? Kama amepata muda wa kusogea hapo luningani kwanini amewakimbia wapinzani?
 
JK=Kwa mfumo wetu huu si rahisi kuiba kura... zinaweza kuibwa wakati wa kujumlisha
 
raisi hayupo serious,haya mawakala mmeipata hiyo eti msiende kula yeye mwenyewe anajua watachakachua kumbe
 
Back
Top Bottom