'' Nyie madaktari si mna kiapo chenu kuwa mahitajio na maslahi ya mgonjwa ni kitu cha kwanza ?? Sasa imekuaje hamuwapi hao wagomjwa huduma ipasavyo mpaka mpate chochote kuotoka kwao ? hamjui kuwa hao ndio walipa kodi na ndio waajiri wenu ? na sasa mnazidi kuwatukana kwa kuomba ziada ya mishara. ebu fikirieni wenyewe manayo fanya ni mazuri ? acheni uroho na rudini kewenya kiapo chenu kwanza kabla hamjalalamika kuhusu mishahara . Haya nendeni mkafanye kazi na acheni upuuzi wenu''
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.