kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,151
- 16,140
Kila mgeni anayetua hapa nchini naona anapokelewa Ikulu ya Dar, tulivyotangaziwa ni kuwa kukamilika Ikulu ya Dodoma ni kwamba shughuli zote za Rais zitakuwa ikulu ya Dodoma.
Hivyo nilitegemea hata wageni nao wangekuwa wanapokelewa na kufanya mazungumzo na mwenyeji wao kutokea Dodoma.
Naona wageni wote ni Dar na muda mwingi Rais yupo Ikulu ya Dar ila birthday ndio ikulu ya Dodoma.
Je, Ikulu ya Dodoma ina matatizo gani?
Natumaini mwamba angekuwa hai tungeona shughuli zote ni Ikulu ya Dodoma!
Ikulu ya Dodoma kuna tatizo?
Hivyo nilitegemea hata wageni nao wangekuwa wanapokelewa na kufanya mazungumzo na mwenyeji wao kutokea Dodoma.
Naona wageni wote ni Dar na muda mwingi Rais yupo Ikulu ya Dar ila birthday ndio ikulu ya Dodoma.
Je, Ikulu ya Dodoma ina matatizo gani?
Natumaini mwamba angekuwa hai tungeona shughuli zote ni Ikulu ya Dodoma!
Ikulu ya Dodoma kuna tatizo?