DON YRN
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 474
- 999
Hebu fikiria kwamba huko duniani ni Vladimir Putin, Joe Biden, Narendra Modi, Benjamin Netanyahu, Xi Jinping, Hang Zheng, Frank-Walter Steinmeier, Olaf Scholz, Mikhail Mishustin, Anthon Blinken, n.k.
Kama ni kwamba wenzetu hao hawana hata udokta wowote lkn wanai-run Dunia, sisi tulio na madokta wengi wasomi kuanzia ngazi ya tawi la chama, taasisi za serikali na sekta binafsi hadi kule ukanda wa bahari karibu na soko la samaki, tunafeli wapi lakini.
Hizo Phd's zenu ni za kwenye makaratasi au za kuchongesha tu?, nchi ina madokta na maprofesa wengi hawajawahi kuwa hata na uvumbuzi wa maana kusaidia nchi yao na wakipewa hata kuendesha taasisi zinawafia Ref. TTCL, ATCL, n.k.
Nchi ina mainjinia wengi lkn hawajawahi kuunda hata gari ndogo km STARLET ikaingia barabarani, kazi zao ni kudesign ramani za majengo tena ile copy & paste mtandaoni huko na hapo ndipo uinjinia wao unaishia.
Tuwekane sawa bhana...
Kama ni kwamba wenzetu hao hawana hata udokta wowote lkn wanai-run Dunia, sisi tulio na madokta wengi wasomi kuanzia ngazi ya tawi la chama, taasisi za serikali na sekta binafsi hadi kule ukanda wa bahari karibu na soko la samaki, tunafeli wapi lakini.
Hizo Phd's zenu ni za kwenye makaratasi au za kuchongesha tu?, nchi ina madokta na maprofesa wengi hawajawahi kuwa hata na uvumbuzi wa maana kusaidia nchi yao na wakipewa hata kuendesha taasisi zinawafia Ref. TTCL, ATCL, n.k.
Nchi ina mainjinia wengi lkn hawajawahi kuunda hata gari ndogo km STARLET ikaingia barabarani, kazi zao ni kudesign ramani za majengo tena ile copy & paste mtandaoni huko na hapo ndipo uinjinia wao unaishia.
Tuwekane sawa bhana...