rifwima
JF-Expert Member
- Apr 21, 2010
- 507
- 212
Nilikuwa namjibu Mzizimkavu.
Utakaa mtandaoni kulaumu, hiyo haitasaidia. Nia yangu ni kujaribu kutafakari jinsi Rwanda na Tanzania zinavyopata misaada kutoka nje. Rwanda asilimia ya misaada inayopata (as a percentage of GDP) ni zaidi kidogo ya Tanzania.
Sasa kwanini Kagame azungumziwe humu kama ni rais asiyependa misaada wakati kibakuli anatembeza kama hana akili nzuri?
Not True, as per GDP may be fine, but i don't remember well how? The fact is, Tanzania ni nchi ya tatu Duniani kwa kuombaomba. Rwanda is not in that shame list. So where do you get the gravity to come up with such wrong premises to jump to that obvious wrong conclusion? Au wewe in Jakaya Mrisho Kiwete?