Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
tusaidiane njia wanazo tumia ilitufafikishie wataka kuwepo wakati wa majumuisho pengine zitafasaidia...Mazingira ya wizi wa kura yapo.kwenye majumuisho ndiko kunakoibiwa kura na si vituoni kwa taarifa yenu.
Hakika ufisadi ndani ya ccm hautatoka.ijumaa salma kikwete kaja hap songea,njiani alikuwa akimwaga kofia na t shirt kwa kuwarushia dirishani kama mbwa vile wadake wenyewe hukohuko.maeneo yote ya lizaboni hadi mjin alifanya hivyo.watu wa usalama wa taifa walibaki macho tu hawana cha kufanya. Urais wa familia huu nao ni ufisadi mtupu