Amruhusu na Rais Mtarajiwa Dr Slaa akashiriki katika mdahalo huo wa October 29 na masaa yaongezwe ili uwe wa masaa matatu na tunamuomba asiingie mitini kumkimbia Rais mtarajiwa. Dr Slaa tafadhali sana omba kushiriki katika mdahalo huo wa October 29.
Kabla sija jiunga rasmi na jf, namaanisha enzi za jambo forum moja ya watu walio ni inspire kujiunga na jf, basi ni mwanakijijiHakuna ulazima wowote wa Rais Kikwete kufanya "mdahalo hewa" baada ya kura kupigwa na kujijenga kama bado ni Rais wakati wananchi wanasubiri matokeo ya Uchaguzi. Ninawashauri kina kinana kama lengo la "mdahalo hewa" wa Rais Kikwete kuwavutia wapiga kura waufanye wakati wa kampeni yaani (hadi Jumamosi). Watanzania wana haki ya kumsikiliza Kikwete ili awasaidie kufanya uamuzi wa kupiga kura.
Kitendo cha kupanga kufanya "mdahalo hewa" siku ya Jumapili, wakati kura zinasubiliwa na matokeo hayajatoka ni kitendo chenye lengo la kuandaa mazingira ya vitisho na hata kutangaza hali ya hatari hasa kama exit polls zinaonesha CCM kufanya vibaya.
Matokeo yake Rais Kikwete atatumia nguvu ya EPACT ya 1986 ambapo vyombo vyote vya habari vinaweza kupigwa marufuku kutangaza na radio zote kuanza kuimba nyimbo wanazozitaka na hivyo kuchakachua utaratibu wa kutangaza matokeo.
Kwa kufanya mazungumzo hayo usiku wa kuhesabu kura na kabla ya matokeo yote kutoka CCM inawataka wananchi wajikusanye kuandamana au kufanya vurugu ili hatimaye waweze kufungulia virungu dhidi yao.
Tutumie hekima basi tunapopanga baadhi ya mambo. Kwa vile uchaguzi utakuwa umeshapita sidhani kama kuna ulazima wa Kikwete kuzungumza usiku wa kuhesabu kura.
Kama atashinda basi atazungumza na wananchi siku ya kuapishwa. Is that too much to ask?
Oparation nyingi kubwa tunatumia ganzi ya muda mrefu, ila hii ya tarehe 29 hakuna haja ya ganzi, tunapasua jipu la CCM bila ganzi tena halijaiva. Tuna ma Dr. wa ukweli sio feki
JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limewataka wakazi wa Dar es Salaam kutokuwa na hofu yoyote wakati watakaposikia mlio wa ving'ora asubuhi ya leo.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Habari na Mawasiliano ya jeshi hilo, king'ora hicho kitawashwa kwa majaribio, ikiwa ni sehemu ya majaribio ya kawaida kwa utaratibu wa jeshi.
"Tutafanya jaribio la kuwasha king'ora ambacho hutumika wakati wa hali ya hatari ili wananchi waweze kuchukua tahadhari kunapotokea tatizo.
"Zoezi hilo litafanyika Jumapili (leo) Oktoba 24, 2010 saa 12.00 (kumi na mbili alfajiri) katika kambi ya Makao Makuu ya Jeshi iliyopo Upanga jijini Dar es Salaam," imeeleza sehemu ya taarifa hiyo.
Kutokana na taarifa hiyo, jeshi limesisitiza na kuwataka wananchi kutokuwa na chembe ya hofu.
Source: Habari Leo
Kama watu wangeelewa siasa za nchi zetu za dunia ya tatu ni tofauti na nchi zilizo endelea, basi naamini mageuzi ya kweli yangetoke
Takribani asilimia karibu 90 ya humu JF wanaamini Dr Slaa atashinda uchaguzi na ukuwauliza why? majibu ni CCM mafisadi hawajaleta maendeleo, sabaub hiyo inatosha kabisa kukitoa chama madarakani katika nchi zilizo endelea lakini sio dunia yetu yatatu.
kabla hujadhania chama fulani kitashinda jaribu kufikiria kwanini?
JK+Mdahalo = JK+Kushitaki KagodaMbona JK na midahalo ni sawa na Mmasai na samaki
Mkuu Mwanakijiji mimi sijaelewa kitu kimoja. Title ya thread ina sema "Kikwete kufanya mdahalo Ijumaa...." Kwenye thread yeneywe una sema kwamba ata fanya mdahalo Jumapili ambayo ita kuwa baada ya kura kupigwa. Sasa kabla hatujaendelea zaidi mkuu naomba ufananue mkuu. Mdahalo huo ana mpango wa kuufanya Ijumaa kama title ya thread inavyo sema? Au ana mpango wa kuufanya Jumapili kama content ya thread inavyo sema? Which is which? Friday or Sunday?
Mkuu Mwanakijiji mimi sijaelewa kitu kimoja. Title ya thread ina sema "Kikwete kufanya mdahalo Ijumaa...." Kwenye thread yeneywe una sema kwamba ata fanya mdahalo Jumapili ambayo ita kuwa baada ya kura kupigwa. Sasa kabla hatujaendelea zaidi mkuu naomba ufananue mkuu. Mdahalo huo ana mpango wa kuufanya Ijumaa kama title ya thread inavyo sema? Au ana mpango wa kuufanya Jumapili kama content ya thread inavyo sema? Which is which? Friday or Sunday?
Kulikuwa na habari mbili ya kwanza ilikuwa inadokeza kuwa mdahalo wa JK ulikuw aufanyike j'pili baada ya uchaguzi na ndio sababu ya mimi kurespond. Baadaye however kuna clarification imefanyika kuwa mdahalo ni Ijumaa. Hata hivyo, kutokana na utete wa homa ya uchaguzi nina wasiwasi kuwa usiku wa kuamkia Jumatatu ya Nov 1 unaweza ukawa ni wivu wa wasiwasi.
Matumaini yangu ni kuwa Ijumaa JK atalituliza taifa kwa kulihakikishia kuwa hatojaribu kutumia kibakiism kubaki madarakani.
Hapo kwenye bold ni assumption yako. Sisi tuna sababu zaidi ya 100 za kutomchagua jamaa yako kikwete. Hiyo ya mafisadi ina upana wake ndani.Kama watu wangeelewa siasa za nchi zetu za dunia ya tatu ni tofauti na nchi zilizo endelea, basi naamini mageuzi ya kweli yangetoke
Takribani asilimia karibu 90 ya humu JF wanaamini Dr Slaa atashinda uchaguzi na ukuwauliza why? majibu ni CCM mafisadi hawajaleta maendeleo, sabaub hiyo inatosha kabisa kukitoa chama madarakani katika nchi zilizo endelea lakini sio dunia yetu yatatu.
kabla hujadhania chama fulani kitashinda jaribu kufikiria kwanini?
Hivi tunazo taratibu ya kujua exit poll hapa Tanzania?Kitendo cha kupanga kufanya "mdahalo hewa" siku ya Jumapili, wakati kura zinasubiliwa na matokeo hayajatoka ni kitendo chenye lengo la kuandaa mazingira ya vitisho na hata kutangaza hali ya hatari hasa kama exit polls zinaonesha CCM kufanya vibaya.