Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
Siyo kweli,
Nazungumzia Mramba, Yona, Mgonja, Liyumba et al. JK hana muda na hizo dili mkuu..
Wakishindwa kutiwa hatiani tuwabane uzalendo wa wanasheria wetu si JK..
Wamefungwa miaka mingapi vile? au wamelipa faini Tsh............. tutajie........Lowassa alifukuza na JK au aliamua mwenyewe.............hadi sasa unajua aliyeibariki Dowans tena kwa simu? Pia hujui kuwa manbo aliyoyafanya Jk ni wajibu wake wewe unamkweza.....wakati ni wajibu wake..........kipi kipya.