Kuna wanaJF ambao mawazo yao bado ya mwaka 47, njoo uone huku Nyanda za kusini magharibi uone watu wanavyojiunga na chadema mawazo ya akina Rejeo ni ya wanyama wa mwitu, mtaji wao ulikuwa vijiji, huko wameamka hawawataki, siku ya kiama inakuja siju mtakuwa wakimbizi wapi?