Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,146
hivi mi sielewi huyu Lowassa kuwa mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya bunge ya usalama na mambo ya nje alichagulia au aliteuliwa?? CCM bana sasa leo mnampoka uanachama kwa sababu gani...tatizo ni lichama limejaa usanii...hta mfukuzane vipi jumba linawaangukia hilo