Kikwete akutana na uongozi wa CHADEMA Ikulu; Dr. Slaa ndani

Imeeleweka wazi kama mwanzo wa kuinadi sheria aliyoisaini Kikwete ya kutunga katiba mpya, umekuwa ni mwanzo
mgumu sana na mkwamo kwa Serikali ya Ccm. Kwa matokeo yaliyokwisha jitokeza Musoma na Mbeya.
Kisiasa Dr. Slaa kukutana na Kikwete, huo ni mfumo wa siasa ambao unafanyika na unahitajika kuendelezwa,
katika kuifungua zaidi Demokrasia Tanzania. Ila tu pale magogoni mfumo wa kukaa kimaongezi unahitajika kubadilishwa,
na isiwe kifalme zaidi, bali Kidemokrasia zaidi kwa kuchanganyika kwenye meza moja kwa upande wa kulia na kushoto,
Kilichozungumzwa, kilichoajiri na makubaliano kati ya Serikali na CDM hatukijuwi. Tunachosubiri ni taarifa rasmi kutoka
kwa Mkurugenzi ya Habari na Uwenezi wa CDM. Ili tuweze kujadili.
 
Imeeleweka wazi kama mwanzo wa kuinadi sheria aliyoisaini Kikwete ya kutunga katiba mpya, umekuwa ni mwanzo
mgumu sana na mkwamo kwa Serikali ya Ccm. Kwa matokeo yaliyokwisha jitokeza Musoma na Mbeya.
Kisiasa Dr. Slaa kukutana na Kikwete, huo ni mfumo wa siasa ambao unafanyika na unahitajika kuendelezwa,
katika kuifungua zaidi Demokrasia Tanzania. Ila tu pale magogoni mfumo wa kukaa kimaongezi unahitajika kubadilishwa,
na isiwe kifalme zaidi, bali Kidemokrasia zaidi kwa kuchanganyika kwenye meza moja kwa upande wa kulia na kushoto,
Kilichozungumzwa, kilichoajiri na makubaliano kati ya Serikali na CDM hatukijuwi. Tunachosubiri ni taarifa rasmi kutoka
kwa Mkurugenzi ya Habari na Uwenezi wa CDM. Ili tuweze kujadili.
Mkuu umenena kweli. Mazungumzo yanafanyika mezani. Kwa jinsi wakivyokaa utadhani ni kubadlishana tu mawazo na kunywa kahawa! Mkuu lingine ni kwamba kama kuna mazungumzo ya pande mbili tunategemea kuwe na communique ya pamoja na siyo huyu aende aseme tuliongea hivi na huyu aseme aaaah tuliongea hivi.
 
...Umeshawahi kuandika mara nyingi hapa ukimpigia debe Lowassa sijui ni kipi unachokiona kwa Lowassa hata uone kwamba anastahili kuwa the next President wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
La kushangaza pia katika moja ya hayo maandiko alisema kuwa jamaa Afya mgogoro. Akawataka walio karibu na Lowassa wamshauri apunguze kunywa maji ya uhai.

Hivi lazima Rais ajaye 2015 atoke CCM? Baada ya miaka 34 bado hawajachoka kui-cameroon hii nchi na wananchi wake?
 
Ningemshauri JK asikutane na ile timu. ingekuwa bora angetuma mwakilishi maybe Ole Sendeka!! nasema haya kwa kuwa hoja za hiyo timu kwa vyovyote hawezi kuzikabri!! yaani Lissu, Slaa, Mnyika, Safari, Yule mzee wa Zanzibar ......... wote wale ni Vipanga!!!!!!!!!!!!
 
Habari kutoka source ya kuaminika zinasema jk yuko kwenye meeting na dr slaa ikulu mida hii
My take:naona jk anajaribu kuomba ushauri nchi imekuwa ngumu last wek ilikuwa mboye leo dr slaa
Picha bidae

Wacha Wee! Hapo ndipo ninaposhindwa kukueleweni nyie? Nyie siku zote ni wa kuomba si wa kuombwa! Big Up Magwanda!
 
KAFU kweli hawatalia na wao wanataka ?
JK anawezaje kukutana na Chama cha msimu ? Chama cha Kikanda ? Chama cha ruzuku ? Ana hofu gani ?

Jee hiyo ndio mma yenu? Angalau unakubali kuwa CCM na Kikwete ni daraja kwako!
 
yule mbea weti pasco cjui ataweka wapi lisura lake
meningitis ni jina la ugonjwa unaoshambulia uti wa mgongo hivyo sishangai kuniita kuwa mimi ni mtu wa Mwanza na sio Mbeya!. Na kwa upande wa hili lisura langu siwezi kuliweka popote zaidi ya humu jf
 
Kwasasa JK maji ya shingo na anahofia km hawa jamaa wa CDM wakitikisa kiberiti kidogo cha maandamano ya kupinga UMEME nchi itatikisika...na ameshaona washauri wake wengi ni wachumia tumbo miaka yote hiyo ya ushauri nchi ndokwanza inazid kuyumba sasa ni wakati muafaka wa yeye JK kujitenga na watu km sijui ni linani hilo li mbunge la BUNDA kwanza ata picha tu limeharibu utadhani IKULU watu wanaenda kupigana ndo eti JK anamtegemea ushauri kwake..... JK ni wakati sasa fanya kweli usione AIBU yani watu wanavyokuchukia utadhani IDD AMINI NDULI mpaka tukamtungia wimbo '' kwamba akifa sisi hatuwezi kulia tutamzika kagera......''
 
Ni hatua muhimu katika kuhakikisha Tanzania inakua na katiba safi. chadema endeleeni na uzalendo huo. Ningewashangaa kama mngekaa kimya na kuwaachia ccm peke yao kuendelea na mchakato huo. Nawatakia kila heri......
 
Kwasasa JK maji ya shingo na anahofia km hawa jamaa wa CDM wakitikisa kiberiti kidogo cha maandamano ya kupinga UMEME nchi itatikisika...na ameshaona washauri wake wengi ni wachumia tumbo miaka yote hiyo ya ushauri nchi ndokwanza inazid kuyumba sasa ni wakati muafaka wa yeye JK kujitenga na watu km sijui ni linani hilo li mbunge la BUNDA kwanza ata picha tu limeharibu utadhani IKULU watu wanaenda kupigana ndo eti JK anamtegemea ushauri kwake..... JK ni wakati sasa fanya kweli usione AIBU yani watu wanavyokuchukia utadhani IDD AMINI NDULI mpaka tukamtungia wimbo '' kwamba akifa sisi hatuwezi kulia tutamzika kagera......''
 
kiburi cha serikali na dolla kuamini kuwa wanaweza kufanya na kuwafanyia watz watakavyo kinaonekana kupungua kwa
kuruhusu mazungumzo ili kupata mwafaka wa kitaifa juu ya katiba watanzania waitakayo inaonyesha kupungua kwa kuruhusu makundi mengine yashiriki katika mchakato. shikilieni mapendekezo nane mliyoyawasilisha awali yanapata nafasi katika sheria itakayofanyiwa mabadiliko.
tunawaamini, lindeni imani yetu kwa chama na kwenu pia!
 
Safi sana CHADEMA mmeonyesha ukomavu mkubwa kwa maslahi ya Taifa, watu wanfikiri kuandika katiba ya nchi ni sawa sawa na kuandika manual ya kuoperate radio au tv.

Katiba ni jambo nyeti ambalo linahitaji utashi zaidi ya interest za vyama vyetu, Nyerere alishaonyesha katiba yetu ina mapungufu hivyo akatuachia changamoto ya kuibadili.

Ninaimani kwa mapenzi mazuri walionyesha chadema tunaelekea pazuri, safi sana nimeona mmekataa kunyw juice za mjengoni kama mlikunywa mtuambie tujue plan b ya antidote.

Pamoja tunajenga taifa letu.
 
mnyika-wassira.jpg wasira anatia kichefu chefu yana amekuwa tyipical hopeless, angalia anavyoonyesha dharau, ukiwa mataalam wa kusoma facial expression hiyo wry smile inaonyesha disgust...jamaa uwepo wa hawa mabwana hapo anauona kamakero kwake. Nadhani huyu mtu ni hatari sana
 
WanaJF,

Nawashukuru wote wanaofuatilia thread hii. Nawaomba kwa mara nyingine muwe na amani. Nawahakikishia hakuna wala hakutakuwa na usaliti. Chadema iko makini sana. Tunasukumwa na uzalendo na nia njema kwa Taifa letu.

Aidha kama alivyosema MMJ, tumekuwa tukisukuma mabadiliko makubwa katika Sheria ya Mabadiliko ya Katiba kabla Rais hajateua Tume ya kukusanya maoni. Tulieleza wazi kuwa vinginevyo hatutashiriki mchakato wa kukusanya maoni.

Ni dhahiri busara ya kawaida inataka tupate progress ya majadiliano hayo hayo na utekelezaji wake. Katiba nzuri ndio afya na uhai wa Taifa hata kama si ufunguo wa matatizo yote yanayotusibu leo. Wakati mwafaka utakapofika tutatoa Taarifa kwa umma.

Msiwe na hofu mtuamini.

Thank Dr. Tupo nyuma yako kwa lolote.
 
katika masuala ya utaifa, upinzani na tofauti huwekwa pembeni. lengo ni kufanya maendeleo ili inchi yetu iweze kuwa mahala pazuri. hongereni sana nyote..
 
Back
Top Bottom