Kikwete akutana na uongozi wa CHADEMA Ikulu; Dr. Slaa ndani

HAKIKA CHADEMA NI CHAMA MAKINI TUNAKUHASHMU DOCTA WA UKWELI, TUNAKUOMBEA MUNGU AKUEPUSHE NA BALAA KAMA LILIMKUTA MWAKEMBE KWAN TUNAYOYASIKIA KUMUHUSU HYU DR. Mwenzako baada ya umaarufu mkubwa YANASIKITISHA Keep it up Kamanda
 
Dr. Slaa tunashukuru kwa majibu yako. Tunasubiri taarifa ila shaka yangu ipo hapo kwenye neno "wakati muafaka utakapofika tutatoa taarifa kwa umma". Sijui ni lini wakati muafaka utafika. Hilo tu. Nilikuwa nadhani ungesema kesho ama keshokutwa tutatoa taarifa kwa umma ili niishi kwa matumaini, lakini hili la wakati muafaka linaninyima raha kidogo.

Kimbunga,
Mkuu umeshaambiwa kuwa na subra wakati muafaka ukifika umma utajulishwa. Sasa unataka uambiwe lini wakati mazungumzo bado yanaendelea? Hebu tuwe waungwana japo kidogo haya mambo yanafanyika kwa umakini na kwa maslahi yetu wote.
 
Najua huwezi kulielewa hili kwakuwa halifanyiki kama unavyotaka, chama ni taasisi ina vyombo vyake vya uendeshaji na utendaji. Waliokwenda ikulu ni wawakilishi wa kamati kuu lazima warudishe feedback kwa aliyewatuma.
Je unadhani zile para 2 zilizosainiwa mara ya kwanza zilifanywa kwa bahati mbaya?
Chama kinaendeshwa kwa vikao mkuu sio kwa matakwa ya Kimbunga ama Kim wa JF!
Sawa mkuu hapo tunaelewana. Tunataka elimu kama hii. Nadhani muda huu wamekuw makini hawakusaini communique manake wakati ule waliushangaza umma kwa kusaini communique na kesho yake wakaikana! Naona sasa kwamba mara ya kwanza walikosea na umuhimu wa Dr. Slaa kuwepo ulijidhihirisha. Kwa maana hiyo mkuu yale makubaliano yanakuwa null and void ab initio?
 
mh yani siasa kweli ni mchezo wa ajabu kweli kweli..! hawa ni watu wawili tofauti wenye fikira tofauti kabisa mmoja ni mkumbatia mafisadi mwingine ni mfichua mafisadi..! ila unaona hata ****** anamuangalia kwa uoga..? anajua kua mambo ni magumu hapo 2015..! kwakweli watanzania tuamke sasa hebu tusiwe na fikira mgando..! CCM ni kama gari lililoshindwa safari.. tukiendelea kukaa humo tutaonekana wajinga hebu tupande kwenye lingine tuone nalo litatuchukua umbali gani kuelekea kwenye tanganyika bora zaidi ya hii iliyo haribiwa


kama CCM ni gari lilishindwa safari mbona chadema mnadandia mkitaka kuwa miongoni mwa abiria wake.
 
Mkuu inabidi wafuasi wa CDM wajue kwamba hakuna uadui katika siasa na siasa si matusi. Nadhani wameona mfano kwa viongozi wao: Wamehamasisha watu kuandamana weeee mwishowe wameona hakuna tija viongozi wakaamua kuandamana kwenda kwa Rais! Wanachadema humu Jf nao wabadilike wakubalia kukosoana na kujikosoa.

Viongozi wameona maandamano ya ghasia hayana mashiko wameamua kuketi mezani sasa ni wakati muafaka wa hawa watukanaji wa humu kuacha matusi na kurudi kwenye hoja.
Nafikiri hujafikiri vya kutosha kwa taarifa yako wananchi wamechoka na JK na uwezo wa kuandamana ni mkubwa bila kusukumwa na chama chochote ugumu wa maisha ndio unawasukuma kufanya hivyo isipokuwa CDM ndio wanawachelewesha kwa kuwapoza kama hivyo kukaachini kwanza kuongea na Rais amasivyo wangesha andamana muda mrefu tangu kipindi cha mgawo wa umeme mfano mdogo Mbeya walisha kaa barabarani tayari CDM ndio waliokwenda kuwaomba wasitishe hata hivyo maandamano yameirekebisha na kuitia adabu serikali ya CCM.
 
WanaJF,

Nawashukuru wote wanaofuatilia thread hii. Nawaomba kwa mara nyingine muwe na amani. Nawahakikishia hakuna wala hakutakuwa na usaliti. Chadema iko makini sana. Tunasukumwa na uzalendo na nia njema kwa Taifa letu.

Aidha kama alivyosema MMJ, tumekuwa tukisukuma mabadiliko makubwa katika Sheria ya Mabadiliko ya Katiba kabla Rais hajateua Tume ya kukusanya maoni. Tulieleza wazi kuwa vinginevyo hatutashiriki mchakato wa kukusanya maoni.

Ni dhahiri busara ya kawaida inataka tupate progress ya majadiliano hayo hayo na utekelezaji wake. Katiba nzuri ndio afya na uhai wa Taifa hata kama si ufunguo wa matatizo yote yanayotusibu leo. Wakati mwafaka utakapofika tutatoa Taarifa kwa umma.

Msiwe na hofu mtuamini.
W.Slaa,
Kwanza pole sana kwa majukumu ya kichama pamoja na msiba...vile vile nakupa pongezi wewe pamoja na uongozi wote wa Chadema kwa kukutana na Rais ili kulitakia mema taifa letu.

Nadhani hakuna mtu aliosema kuwa mmewasaliti kutoka na nyie kwenda Ikulu..

Naomba nikuulize swali, kama unavyosema mwenyewe mnasukumwa na uzalendo na umma. wakati mnapanga kwenda Ikulu kuonana Rais, mlitoa taarifa kwa umma au mliamua nyie wenyewe tu kama chama?
 
slaa-baregu-kikwete.jpg


smart moves by JK............for the first time he has attained a statesmanship image of a shaker of TZ politics .......always in-charge and willing to listen; so far, he scores an A in my score card.......................the question is what will he do with a myriad of advice percolating into his ear.............................
 
Kimbunga,
Mkuu umeshaambiwa kuwa na subra wakati muafaka ukifika umma utajulishwa. Sasa unataka uambiwe lini wakati mazungumzo bado yanaendelea? Hebu tuwe waungwana japo kidogo haya mambo yanafanyika kwa umakini na kwa maslahi yetu wote.
Ahsante Mwita Maranya. Kwa hiyo kutakuwa na mikutano mingine kadhaa? Yote heri tu ili mradi yote yafanyike kwa maslahi ya watanzania wote bila kuangalia vyama na maslahi binafsi. Lakini pia muwe makini kwa kuwa CHADEMA kama Chama kinaongea na Serikali ya CCM! Sioni viongozi wa CCM kwenye hiyo mikutano (nina maana ya secretariat), hayo watakayokubaliana na serikali itabidi yaende chamani. CCM ikiyakataa itakuwaje? Tutaanza back to square one?
 
Sawa mkuu hapo tunaelewana. Tunataka elimu kama hii. Nadhani muda huu wamekuw makini hawakusaini communique manake wakati ule waliushangaza umma kwa kusaini communique na kesho yake wakaikana! Naona sasa kwamba mara ya kwanza walikosea na umuhimu wa Dr. Slaa kuwepo ulijidhihirisha. Kwa maana hiyo mkuu yale makubaliano yanakuwa null and void ab initio?

"null and void ab initio" hapa sidhani kama kamanda mwita amekuelewa!
 
Ahsante Mwita Maranya. Kwa hiyo kutakuwa na mikutano mingine kadhaa? Yote heri tu ili mradi yote yafanyike kwa maslahi ya watanzania wote bila kuangalia vyama na maslahi binafsi. Lakini pia muwe makini kwa kuwa CHADEMA kama Chama kinaongea na Serikali ya CCM! Sioni viongozi wa CCM kwenye hiyo mikutano (nina maana ya secretariat), hayo watakayokubaliana na serikali itabidi yaende chamani. CCM ikiyakataa itakuwaje? Tutaanza back to square one?

jk tunamjua sisi bwana,kuna watu wanamuonaga jamaa kiazi,huwa wanakosea sana.Tusubiri tuone nini itatokea.
 
BAADA YA NDOA YA MKEKA INAYOSEMWA (CUF) KIKWETE ANATAFUTA NYUMBA NDOGO (CHADEMA:lol:)

Yaani nilikuwa nina mastress ya kufa mtu leo, ila hii post yako mkuu have made my day lol!
ivi mnatoa wapi haya maneno??
 
Nafikiri hujafikiri vya kutosha kwa taarifa yako wananchi wamechoka na JK na uwezo wa kuandamana ni mkubwa bila kusukumwa na chama chochote ugumu wa maisha ndio unawasukuma kufanya hivyo isipokuwa CDM ndio wanawachelewesha kwa kuwapoza kama hivyo kukaachini kwanza kuongea na Rais amasivyo wangesha andamana muda mrefu tangu kipindi cha mgawo wa umeme mfano mdogo Mbeya walisha kaa barabarani tayari CDM ndio waliokwenda kuwaomba wasitishe hata hivyo maandamano yameirekebisha na kuitia adabu serikali ya CCM.
Mkuu kumbe nawe unafikiri? "nafikiri hujafikiri vizuri". Ngoma droo kumbe wote tunafikiri
 
ivi mbona mimi sizioni hizo picha, kama kuna mkuu anaweza kuzipost tena naombeni jamani.
 
siasa siiiii uadui wana JF.binafsi nafarijika sana na hatua hii.hatuna sababu ya kumwaga damu,kujeruhiana kisa siasa.

Nchi maskini kama Tanzania hatuna sababu ya kuhasimiana hadi tunashindwa kusalimiana eti madaraka.nawaponeza wote kwa kuwa wana siasa wastaarabu.

Leo Dr Slaa naye amepata fursa ya kunywa juice ya ikulu lau glass moja.

Siasa si uadui, wameligundua lini hilo?
Ni juzi tu walikuwa wanataka kumtoa ikulu kwa 'nguvu ya umma' au siyo Chadema waliomkimbia bungeni?
Au ndiyo wanasiasa vigeugeu.
 
Mkuu maranya, katika siasa chochote chaweza kutokea. Inaweza kuwa si kuunganisha vyama lakini kitu kingine ambacho kitakuacha mdomo wazi. Ndugu yangu usiwe mwepesi wa kula yamini namna hiyo utakuja kuiona dunia chungu pindi utakapogundua kwamba wenzako si wenzako!

Kimbunga,
Ni muhimu ukatambua kwamba mimi ni mwanasiasa ninayefanya siasa nikiwa ndani ya siasa, ni mwanachama na kiongozi wa chama. Ninshiriki siasa kwa mikono yangu, najua ninachofanya na kinachotokea ktk siasa.
Mimi si mtazamaji wa siasa kama walivyo wengi wetu hapa JF ambao kazi yao ni kupiga makelele tu kama mashabiki wa mpira bongo wanachojua ni kuwaambia wachezaji piga mbeleeeeeee!!!
Ni kweli ktk siasa chochote chaweza kutokea kwakuwa hakuna adui ama rafiki wa kudumu ktk siasa! Na kadri muda unavyokwenda mwanasiasa makini unafanya tathmini na kujua mwelekeo sahihi wa wenzako na chama kwa ujumla.
 
dr. Slaa tunashukuru kwa majibu yako. Tunasubiri taarifa ila shaka yangu ipo hapo kwenye neno "wakati muafaka utakapofika tutatoa taarifa kwa umma". Sijui ni lini wakati muafaka utafika. Hilo tu. Nilikuwa nadhani ungesema kesho ama keshokutwa tutatoa taarifa kwa umma ili niishi kwa matumaini, lakini hili la wakati muafaka linaninyima raha kidogo.
unataka maji yaliyokamilika au nusunusu na kama ni hivyo itaondoa umaana wake sasa wewe vutasubila kama dr alivyokwambia iliupata majibu yaliyokamilika hata kama unataka kuyafanyia kazi ufanye kazi iliyokamilika mkuu.
 
WanaJF,

Nawashukuru wote wanaofuatilia thread hii. Nawaomba kwa mara nyingine muwe na amani. Nawahakikishia hakuna wala hakutakuwa na usaliti. Chadema iko makini sana. Tunasukumwa na uzalendo na nia njema kwa Taifa letu.

Aidha kama alivyosema MMJ, tumekuwa tukisukuma mabadiliko makubwa katika Sheria ya Mabadiliko ya Katiba kabla Rais hajateua Tume ya kukusanya maoni. Tulieleza wazi kuwa vinginevyo hatutashiriki mchakato wa kukusanya maoni.

Ni dhahiri busara ya kawaida inataka tupate progress ya majadiliano hayo hayo na utekelezaji wake. Katiba nzuri ndio afya na uhai wa Taifa hata kama si ufunguo wa matatizo yote yanayotusibu leo. Wakati mwafaka utakapofika tutatoa Taarifa kwa umma.

Msiwe na hofu mtuamini.

Dr Slaa
Angalau sasa naweza kupumua kwa majibu yako ya matumaini.Kilio chetu ni kuwa na katiba bora itakayotupeleka miaka 100 mbele.Katiba bora itakayoipeleka chadema ikulu 2015.Tuna Imani na wewe Dr.Tunaamini hutatusaliti na wala huwezi kukubali umakam wa Rais ukatusahau watu wako.
Pigana Dr tupo nyuma yako.Wana CCM sasa wanapata hofu wanapokuona ukifanya maandalizi ya nguvu kuingia ikulu ya magogoni 2015.Ndio maana wale vibaraka wao walioko hapa jamvini wanahaha sasa kutisha na kukejeli wapiganaji.
Nasema tenao songa mbele Dr tunakuamini.
Dr nikudokeze kidogo nipo huku Arumeru tangu jana jioni na kijana wako Joshua Nassari anaungwa mkono na idadi kubwa ya wana Arumeru.
 
mkuu kumbe nawe unafikiri? "nafikiri hujafikiri vizuri". Ngoma droo kumbe wote tunafikiri
mkuu nimetumia neno hilo nafikiri kwasababu sipo ndani ya ubongo wako, ninaona matokeo ya ubongo wako kwenye maandishi yako nasitaki kuamini kwamba wewe hujui halihalisi huku mtaani ya ugumu wa maisha usiokuwa na sababu ya msingi ambao nyie magamba mmeusababisha kwa kutofikiri kwenu vizuri.
 
Back
Top Bottom