Dk Slaa ni mtu makini na anacheza na mind za magamba kwa sababu magamba wamepiga kelele oo mara sijui hamtambui oo sas dr kaenda kukutana ja JK ili kidomo domo kiishe kabla hawahjazusha ,emngine makubwa ambayo hata haya exist
Shida kubwa ya wanamagamba ilikuwa ni kwama hawakumwelewa Dk.Slaa, Kwa sababu Dk. Slaa alikuwa anasema mchakato uliomwaka kikwete Haukwa halali na hivyo yeye hautambui(siyo Raisi) na akafafanua zaidi kwenye vyombo habari kuhusu hilo lakini kwa sababtu wanamagamba hakuweka akili zao katika mazingira ya kutaka kuelewa alichokuwa anakisema Dk. basi wakabaki kulia tu oo CDM hawamtambui raisi. Ni hatari kukaaa na watu wa namna hii.