Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Mwita, mimi ni upanga ukatao kuwili!
Ah wapi, kama ni upanga umenolewa upande mmoja!! rangi yako nimeshaifahamu, siku nyingine tutalizungumza hilo, ngoja tuendelee na hili kwanza.
Mwita, mimi ni upanga ukatao kuwili!
Maranya, nadhani huko CDM kuna shida kidogo. Kwa nini Slaa hakwenda Ikulu wakati ule? Kwa nini Mbowe alikutana na Rais siku mbili kabla ya viongozi wa CDM kwenda Ikulu mara ya pili muda huu wakiwa na Slaa? Slaa anawaamini wenzake? Je mara ya kwanza Slaa alisusa? Je Mbowe alienda kubembeleza ili Rais akubali kukutana nao Slaa akiwepo? Nina maswali mengi sana kichwani ila majawabu haba! Au Slaa hakukubaliana na yale makubaliano mawili?Hiki kitendo naweza nikakichukua in a positive way na kumpa Slaa pongezi, but in a negative way..Slaa ameonyesha kuwa weak. Ni mtu asiye na msimamo. Amesusa mwishowe amekubali kiulaini sana. Nilikuwa nategemea kuwe na kitu ambacho ni strong cha kuwakutanisha na iwe sehemu nyingine ambayo si Ikulu. Kitendo cha kujipeleka Ikulu kimeniacha nijiulize maswali mengi!
Itategemea na kitakachoongelewa mheshimiwa, wanachotakiwa kufanya CDM ni kuhakikisha kuwa mchakato wa katiba unakuwa ule utakaoleta katiba ya kweli. Kwa jinsi mambo yalivyoenda mpaka sasa, kama itaandikwa katiba mpya ya wananchi na sio ya ccm basi CDM itakuwa ndio chama cha upinzani kilichofanya vizuri kuliko vyote vilivyowahi kutokea. Lakini itakuwa fatal mistake kama CDM watakuwa wameenda kujadili kitu kinaitwa coalition, wakifanya coalition basi watakuwa wameitoa ccm shimoni na kuingia wao wakiungana na CUF.Kwa kweli nimeipenda hii. Kwa watu wasiofuatilia vizuri watafurahia picha na wataenda kulala vizuri. Vyombo vya habari vilivyotaka picha vitapamba kurasa zao kwa picha hiyo lakini hawatauliza walizungumza bini. Yawezekana ni ultimatum ya aina fulani? Firkiria kwamba wameaua kuweka msimamo wao wazi kwa JK baada ya chai, na kupiga picha na mbwebwe nyingine kuwa "ukiunda tume ya Katiba na ikaanza kazi kabla mabadiliko ya sheria ya mchakato wa katiba hayajafanyika kama tulivyopendekeza basi CDM itajitoa na tutahamasisha wananchi kutoshiriki". Msimamo wa aina hiyo haukuwa na mtu mwingine wa kuuweka wazi mbele ya JK kama Slaa. Think about it.
Binafsi naamini, sasa CDM imejiweka mahali ambapo CCM haikutarajia - imewarushia CCM kamba yenye fundo!
Kwani nani kamu-invite mwenzake?
Naitafuta ile thread yangu ya chadema wakubali yaishe
Ili nii update!.
Sidhani kama kutakuwa na jipya tena.
Invisible, asante kwa taarifa hii.Wanajf wenzangu, ile much anticipated photo ya wakisalimiana, nilioitafuta kwa udi na uvumba, hatimaye nimeiona!. Roho yangu imetulia, tuliyoyasema kule nyuma hatimaye yametimia! Thread ya kutimia iko mbioni kupanda. wale wote mlionitukana sana pale mwanzo nilipoeleza Chadema Yakubali Yaishe!, Yamtambua Rasmi JK!. Mlio hai niombeni msamaha, waliotamgulia nimeshawasamehe!
Maranya, nadhani huko CDM kuna shida kidogo. Kwa nini Slaa hakwenda Ikulu wakati ule? Kwa nini Mbowe alikutana na Rais siku mbili kabla ya viongozi wa CDM kwenda Ikulu mara ya pili muda huu wakiwa na Slaa? Slaa anawaamini wenzake? Je mara ya kwanza Slaa alisusa? Je Mbowe alienda kubembeleza ili Rais akubali kukutana nao Slaa akiwepo? Nina maswali mengi sana kichwani ila majawabu haba! Au Slaa hakukubaliana na yale makubaliano mawili?
Saigon, naomba tuwe wakweli toka ndani ya nafsi zetu, kuuliza sababu za kutosalimiana Ifakara ndio uzandiki?. Baada ya kusalimiana leo mimi ndio nimeumbuka vipi?. Mijitu mingine sio tu ni hovyo kweli kweli, bali ni kweli hovyo hovyo sana!.Namsubili Pasco wa JF azidi kuumbuka na ripoti zake za Kizandiki eti kwa nini Dr Slaa na JK hawakusalimiana kwenye msiba wa Regia! mijitu mingine hovyo kweli kweli.
Maranya, nadhani huko CDM kuna shida kidogo. Kwa nini Slaa hakwenda Ikulu wakati ule? Kwa nini Mbowe alikutana na Rais siku mbili kabla ya viongozi wa CDM kwenda Ikulu mara ya pili muda huu wakiwa na Slaa? Slaa anawaamini wenzake? Je mara ya kwanza Slaa alisusa? Je Mbowe alienda kubembeleza ili Rais akubali kukutana nao Slaa akiwepo? Nina maswali mengi sana kichwani ila majawabu haba! Au Slaa hakukubaliana na yale makubaliano mawili?