Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,583
Sasa watu kwa nini walikuwa na kiherehere cha ku politicize msiba wa Regia?
Jamani sisi wananchi tuwe macho tusije tukahujumiwa tukakosa chama cha upinzani cha kututetea kama walivyokosa wenzetu wa Zanzibar sasahivi wanahaha Seif na Karume walianza hivihivi chinichini.
Kwani nani kamu-invite mwenzake?
Rais wa Tanzania JK, alivyokuwa toto la mjini anawapa kwanza Kahawa na Tende then anawamaliza na Juice za Machenza...Haaa!! Hapo Chadema wanacheka cheka tu..mkutano gani wa usiku imekuwa Party..
Hiki kitendo naweza nikakichukua in a positive way na kumpa Slaa pongezi, but in a negative way..Slaa ameonyesha kuwa weak. Ni mtu asiye na msimamo. Amesusa mwishowe amekubali kiulaini sana. Nilikuwa nategemea kuwe na kitu ambacho ni strong cha kuwakutanisha na iwe sehemu nyingine ambayo si Ikulu. Kitendo cha kujipeleka Ikulu kimeniacha nijiulize maswali mengi!
Usisahau kutafuta na ile thread uliokuwa umekomaa kwamba tuishitaki CCM kwa kuituhumu JF kwamba imesababisha ipate matokeo mabaya, bado tunasubili hiyo mahakama utakayokwenda kufunguwa kesi hiyo. ukiwa muongo make sure usiwe mwepesi wa kusahau.Naitafuta ile thread yangu ya chadema wakubali yaishe
Ili nii update!.
Sasa watu kwa nini walikuwa na kiherehere cha politicize msiba wa Regia?
Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!Rais wa Tanzania JK, alivyokuwa toto la mjini anawapa kwanza Kahawa na Tende then anawamaliza na Juice za Machenza...Haaa!! Hapo Chadema wanacheka cheka tu..mkutano gani wa usiku imekuwa Party..
Sidhani kama kutakuwa na jipya tena.matokeo yake mtayasikia tu
Mwita, mimi ni upanga ukatao kuwili!Kimbunga,
Wakati mwingine nikikusoma sikuelewi kama uko baridi au moto!
JK, kwani nchi imesha mshinda,
Invisible, asante kwa taarifa hii.Wanajf wenzangu, ile much anticipated photo ya wakisalimiana, nilioitafuta kwa udi na uvumba, hatimaye nimeiona!. Roho yangu imetulia, tuliyoyasema kule nyuma hatimaye yametimia! Thread ya kutimia iko mbioni kupanda. wale wote mlionitukana sana pale mwanzo nilipoeleza Chadema Yakubali Yaishe!, Yamtambua Rasmi JK!. Mlio hai niombeni msamaha, waliotamgulia nimeshawasamehe!
Hiki kitendo naweza nikakichukua in a positive way na kumpa Slaa pongezi, but in a negative way..Slaa ameonyesha kuwa weak. Ni mtu asiye na msimamo. Amesusa mwishowe amekubali kiulaini sana. Nilikuwa nategemea kuwe na kitu ambacho ni strong cha kuwakutanisha na iwe sehemu nyingine ambayo si Ikulu. Kitendo cha kujipeleka Ikulu kimeniacha nijiulize maswali mengi!