MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
Hawezi kukaa meza moja na viongozi wa chadema, kazi hiyo atapewa katibu wa ccm akutane nao.
Naona kasoma nyakati na ishara hasa kwa kuyaona yanayotokea Misri kwa sasa na huku jukwaa la katiba nalo nikijipanga kwa maandamano ya nchi nzima!
Ameonyesha kuwa yeye ni baba mzuri..ngoja awasikilize wanawe na kuwapa ushauri na kuwafunza siasa za TZ!
Hawezi kukaa meza moja na viongozi wa chadema, kazi hiyo atapewa katibu wa ccm akutane nao.
Arusha kuna nini? sana sana Arusha wanamhitaji JK kuliko JK anavyowahitaji Arusha???
kulingana na taarifa ya ITV JK amekubali kukutana na chadema. Je atafanya busara kusikiliza na kuelewa watakayomweleza?
Huyo ndio Rais wa wote, wanaomkubali na wasio mkubali, Namna hiyo Kikwete, umewakata Ngebe kama kwenye katiba, walitaka ukatae wapate kufanya maandamano.
Sasa wewe umekubali wao ndio watataka wakupangie muda watafute sababu ukatae. Ngoja tuone.
kulingana na taarifa ya ITV JK amekubali kukutana na chadema. Je atafanya busara kusikiliza na kuelewa watakayomweleza?
=============
UPDATE
=============
Fungua attachment usome zaidi
JK atakosa nini asipokuja Arusha? bado ni rais na wengi wanamuunga mkono.
Arusha inamhitaji Rais kuliko ambavyo rais anahitaji arusha tumia akili siyo bange lol
jk na sisiem yake tuwapeleke wapi hapa A town? Yani ungekuwa unajua wakazi wa hp walivyochafukwa na mioyo wala usingedhubutu kuongelea mambo ya sisiem hapa.
Jk inaonekana kila akilala anaiota chadema maana siku hizi ktk hotuba zake lazma awataje chadema.
Anyway, asije akaleta ulaghai kama walivyowaletea CUF.
Lazima aufyate mziki wa cdm si ashauona ulivyo.