Kichwa Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,726
- 312
mkuu nakuomba ubadilishe heading ya hii thread kwa sababu sioni kama ina manufaakulingana na taarifa ya ITV JK amekubali kukutana na chadema. atafanya busara akisikia na kuelewa watakayomweleza
- Raisi kuonana na wananchi wake sio jambo baya tusitumie kusalimu amri inaonekana kama kuna ushindani kati ya raisi na CDM
- Tukiendelea kutumia heading ya thread hii inaweza ikawa ikasambaa zaidi na kufanya raisi kushindwa kuyapokea mawazo ya CDM kwa kigezo cha kuona CDM itaonekana kushinda na ccm kushindwa
- kwa sababu lengo letu ni kupata katiba itakayotulizisha watanzania kwa njia nzuri na wasii wanachadema wenzangu tuachane na ushabiki wakivyama tuangalie lengo kuu
- mtoa mada na mods/invisible jaribuni kuliangalia suala hili