Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
mmmh haya
<br />Jason si jina la kiume?<br />
<br />
Mnhhhh, makubwa jamani! mwanamme mzima kwenda kuleta udaku wa kike kwenye jamvi kama hili? Unanshangaza!<br />
<br />
Na mijitu mingine inashadidia kwenye ujinga kama huu? Hivi mmekosa ya kusema wala ya kufikiri? hii inawasaidia nini? Uongo mweupeee wa mchana kweupeee! mwanamme hapendezi kwa haya jamani, loohhh! mkeo (kama unae) yuko mashakani.
<br /><br /><br />
<br /><br />
<br />
<br />
Hahaha, ff..nani muongo ww au mtoa mada, maana yeye kaleta mada ww kama unaona ni uongo toa ushahidi against hiyo mada, na sio kulalama kama ilivyo kawaida yenu magamba....<br />
<br />
Fb lete mambo zaidi
Rais Kikwete ni mkulima.na ili kuthibitisha hilo angalia hapa akiwa kwao huko msoga.
JK Shambani
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa shambani kwake Msoga, Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani. Shamba hilo ni la manyasi ya kulishia mifugo kwa njia ya kisasa (zero grazing), akiwa ni mmoja wa wafugaji kijijini hapo. Rais Kikwete, ambaye aghalabu hutumia muda wake wa likizo shambani kwake, pia analima pia mananasi ambayo hustawi vizuri katika wilaya hiyo. Kushoto kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mh Mwantumu Mahiza. kuthibitisha hilo,wkend hii ameamua kutumia mda wake shambani.
kinana kateuliwa wapi?Mashinji kateuliwa wapi?
Makamanda hamna shukranikinana kateuliwa wapi?
Vipi mzee babaMwaje akajiliwaze maana tangu aondoke Shekh Yahya pale Magogoni hapakaliki kabisaa
anataka faraja ****** wa watu maana kila akitazama kila kitu kimemshinda, anasubilia ku resign tuu.
Hakuwa verified user kuna jina alikuwa akijiitaEnzi hizo unatengengeneza uzushi kama huu unaupost Jf
Mods hawaufuti wala hawakupigi ban
Anaeuleta huo uzushi ni verified user
Anamaliza ku post anaenda zake kukusanya Bamia na bilinganya Shamban kwake Kigamboni na hakuna anaemuuliza chochote kuhusu uzushi huo dhidi ya Amiri jeshi
JPM karudisha sana hadhi ya Rais iliyopotea sana wakati wa Jongwe mwenzangu wa Msoga kwa kucheka Cheka na Kima