<br />ndo naona msafara unarud magogoni hapa, ivi JB ulokuwa unasema ni kweli? we noumer
<br />Jb ulikuwa unatuzingua sio? Au kashapata chale za kwenye masaburi sasa anarudi kujiandaa kuhutubia taifa mwisho wa mwezi!
<br /><br /><br />
<br /><br />
Nilichoeleza ni kitu halisi kabisa!<br />
Soma updates hapo juu mkuu!!
<br /><span style="font-family: comic sans ms"><b>Akipata ajali mbona tutafanya sikukuu ya lazima kusheherekea nitakunywa mwezi mzima kwa furaha nitakyokuwa nayo.</b></span>
Ahahahaaah!! Sio vizuri kumuombea mabaya rais wenu...Akipata ajali mbona tutafanya sikukuu ya lazima kusheherekea nitakunywa mwezi mzima kwa furaha nitakyokuwa nayo.
Ahahahahaaah!!!!mkuu wa nchi, Amiri jeshi mkuu, kiboko ya slaa, kiongozi mwenye busara, hekima na subira ndio anarudi ikulu.
Ahahahaaah!! Sio vizuri kumuombea mabaya rais wenu...