Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,985
- 20,263
Mkuu wa kaya akiwa na mpenzi mkewe na Said Mwema wanaelekea nyumbani kwao Bagamoyo kwa mapumziko!
Pamoja na mambo mengine atakwenda kwa KIGAGULA wake aliyemsaidia kufika magogoni ambae yupo umbali wa kama km 1 hivi kutoka msoga!
Mganga huyo kwa taarifa nilizozinasa toka ktk chanzo changu muhimu ndani ya familia hii zinasema kuwa huyo kigagula amemuita mkuu wa kaya!!
NB: Nilishindwa kuwapa updates ya kikao cha juzi usiku kutokana na hali ya usalama kuwa ya juu kiasi kwamba hatukuaminiana wenyewe kwa wenyewe!
Lakini mungu alisimama upande wangu, habari yote ninayo na nitaiweka hapa japo inatisha!!
UPDATES!
Msafara umefika salama salimini,yanayoendelea sasa hivi ni kifamilia zaidi lakini nimejipenyeza mpaka mstari wa mbele!
Kaka yake mkuu wa kaya sasa hivi ndiye msemaji japo kwa sasa hakuna zito zaidi linalojadili ila nitakomaa mpaka mida ya kwenda kwa kigagula wake huyo! Leo lazima nishuhudie yote yanayotendeka! Nyie vuteni subira!!
Nimeambiwa kuwa huyo kigagula ni bibi!!
More Updates!!
Naomba samahani kwa kuchelewa kuwapa yanayojiri hii ilitokana na mazingira niliyokuwa nimekaa!
Bibi keshafanya mambo,nilichokiona kwa macho yangu ni kuwa bibi amemunywesha kitu kama damu hivi na kumwogesha maji meusi kisha akambadilishia pete ya mkononi na kumpa nyingine!
Moja ya masharti niliyosikia ni kuwa wakati wa kutoka pale msigeuke nyuma!
Lakini mimi niligeuka tu nyuma!! Na akasema tusirudi kwa njia ile tuliyoendea ndipo tukapita kimara kule kwa marehem kawawa!
Kwa sasa msafara usharudi magogoni na ****** anaonekana kujiamini kidogo!
Kaeni mkao wa kula kuna ishu hatari ya Riz1 najiridhisha kisha niwamwagie hapa!!!!
Pamoja na mambo mengine atakwenda kwa KIGAGULA wake aliyemsaidia kufika magogoni ambae yupo umbali wa kama km 1 hivi kutoka msoga!
Mganga huyo kwa taarifa nilizozinasa toka ktk chanzo changu muhimu ndani ya familia hii zinasema kuwa huyo kigagula amemuita mkuu wa kaya!!
NB: Nilishindwa kuwapa updates ya kikao cha juzi usiku kutokana na hali ya usalama kuwa ya juu kiasi kwamba hatukuaminiana wenyewe kwa wenyewe!
Lakini mungu alisimama upande wangu, habari yote ninayo na nitaiweka hapa japo inatisha!!
UPDATES!
Msafara umefika salama salimini,yanayoendelea sasa hivi ni kifamilia zaidi lakini nimejipenyeza mpaka mstari wa mbele!
Kaka yake mkuu wa kaya sasa hivi ndiye msemaji japo kwa sasa hakuna zito zaidi linalojadili ila nitakomaa mpaka mida ya kwenda kwa kigagula wake huyo! Leo lazima nishuhudie yote yanayotendeka! Nyie vuteni subira!!
Nimeambiwa kuwa huyo kigagula ni bibi!!
More Updates!!
Naomba samahani kwa kuchelewa kuwapa yanayojiri hii ilitokana na mazingira niliyokuwa nimekaa!
Bibi keshafanya mambo,nilichokiona kwa macho yangu ni kuwa bibi amemunywesha kitu kama damu hivi na kumwogesha maji meusi kisha akambadilishia pete ya mkononi na kumpa nyingine!
Moja ya masharti niliyosikia ni kuwa wakati wa kutoka pale msigeuke nyuma!
Lakini mimi niligeuka tu nyuma!! Na akasema tusirudi kwa njia ile tuliyoendea ndipo tukapita kimara kule kwa marehem kawawa!
Kwa sasa msafara usharudi magogoni na ****** anaonekana kujiamini kidogo!
Kaeni mkao wa kula kuna ishu hatari ya Riz1 najiridhisha kisha niwamwagie hapa!!!!