Manyi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 3,253
- 604
Tanzania ni nchi ambayo imepatikana baada ya Muungano wa nchi mbili tofauti.
Katika Muungano wa nchi mbili haiwezekani kukapatikana muasisi mmoja tu! aidha sijasikia nchi yoyote duniani ikiwa na mababa wawili wa Taifa. Kiufupi tu ni kuwa hili jina/cheo/hadhi ifutwe, ni kosa lilofanyika mwanzo inabidi lirekebishwe sasa.
Ni ukweli usiopingika kuwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar bado uliendelea kumpa chart Nyerere! Hivi ni nani alikuwa Rais wa Kwanza wa Muungano, teh teh tehe teh teeeeeeeeheeeeeee!