Mtembea_peku
Senior Member
- Dec 15, 2010
- 135
- 1
kuna biashara gani halmashauri mpaka wanagombea uongoz ivi ? ccm na mkurugenz achen democracy ichukue nafasi ,zama za magumashi zimekwisha.
Hivi mkuu seriously... naomba unijibu kwanini unaipenda CCM.....
Je huoni kwamba upinzani utakuwa mzuri kwa Tanzania?,
au haoni kwamba hiki chama kinapotupeleka siko?
au kuna jambo ambalo wewe unalijua mimi sijalifahamu naomba unieleweshe... labda nitabadilisha msimamo wangu kuhusu hili Jinamizi.... Naomba kueleweshwa tu kaka....
Ukiona hivyo ujue ana maslahi binafsi ndani ya CCM. Si bure!!!! Washabiki wa CCM wako wa aina tatu tu:
1. Viongozi wa chama hicho, hivyo wanafaidika na maslahi ya uongozi.
2. Wafanyabiashara au watu wenye shughuli za kubabaisha, hivyo kutegemea zaidi upendeleo wa viongozi wa serikali -kwa lugha nyingine hawa ni watu wenye maslahi binafsi ya moja kwa moja.
3. Wenye uwezo duni kiuchumi na kielimu/kiufahamu, hivyo huwa ni rahisi kurubuniwa kwa vijisenti.
Nje ya hapo hupati mtu wa kawaida tu kushabikia CCM
Hivi mkuu seriously... naomba unijibu kwanini unaipenda CCM.....
Je huoni kwamba upinzani utakuwa mzuri kwa Tanzania?,
au haoni kwamba hiki chama kinapotupeleka siko?
au kuna jambo ambalo wewe unalijua mimi sijalifahamu naomba unieleweshe... labda nitabadilisha msimamo wangu kuhusu hili Jinamizi.... Naomba kueleweshwa tu kaka....
Jibu lipo wazi, CHADEMA ni wadini, wakabila, wabaguzi na wasio na busara hata kidogo
Naamini hata wafanye nini hizi sehemu zenye Madiwani wengi wa Upinzani Upinzani utachukua Umeya.habari niliyopata hivi punde ni kuwa sababu kuvunjika kwa huu mkutano ni sababu mkurugenzi alitaka kila mtu apige kura kwenye chumba peke yake wadau wakakataa..... akasema ngoja anarudi akaondoka na hakurudi...... bado nafatilia uhakika wa hii story tawajuza
Natamani kulia kwa hii dhuluma ya wazi kabisa,hivi kweli wakurugenzi wako radhi kupindisha taratibu ili mradi ma meya watoke CCM,CCM unafahamu unakopeleka nchi yetu ,Chadema Mwanza na madiwani wote msikubali ujinga wa aina yeyote,jiji ni lenu wanachi waliwapahabari niliyopata hivi punde ni kuwa sababu kuvunjika kwa huu mkutano ni sababu mkurugenzi alitaka kila mtu apige kura kwenye chumba peke yake wadau wakakataa..... akasema ngoja anarudi akaondoka na hakurudi...... bado nafatilia uhakika wa hii story tawajuza
Ukiona hivyo ujue ana maslahi binafsi ndani ya CCM. Si bure!!!! Washabiki wa CCM wako wa aina tatu tu:
1. Viongozi wa chama hicho, hivyo wanafaidika na maslahi ya uongozi.
2. Wafanyabiashara au watu wenye shughuli za kubabaisha, hivyo kutegemea zaidi upendeleo wa viongozi wa serikali -kwa lugha nyingine hawa ni watu wenye maslahi binafsi ya moja kwa moja.
3. Wenye uwezo duni kiuchumi na kielimu/kiufahamu, hivyo huwa ni rahisi kurubuniwa kwa vijisenti.
Nje ya hapo hupati mtu wa kawaida tu kushabikia CCM
habari nazopata toka mwanza ni kuwa kikao cha kumchagua meya wa mwanza kimevunjika baada ya kutokea purukushani kati ya madiwani wa ccm na chadema...more to come
Hivi mkuu seriously... naomba unijibu kwanini unaipenda CCM.....
Je huoni kwamba upinzani utakuwa mzuri kwa Tanzania?,
au haoni kwamba hiki chama kinapotupeleka siko?
au kuna jambo ambalo wewe unalijua mimi sijalifahamu naomba unieleweshe... labda nitabadilisha msimamo wangu kuhusu hili Jinamizi.... Naomba kueleweshwa tu kaka....
Jibu lipo wazi, CHADEMA ni wadini, wakabila, wabaguzi na wasio na busara hata kidogo
habari niliyopata hivi punde ni kuwa sababu kuvunjika kwa huu mkutano ni sababu mkurugenzi alitaka kila mtu apige kura kwenye chumba peke yake wadau wakakataa..... akasema ngoja anarudi akaondoka na hakurudi...... bado nafatilia uhakika wa hii story tawajuza
Chadema 18Wapiga kura ni wangapi, wangapi ni Chadema?