Kijana atangaza kumng'oa Malecela Mtera

kazi kwelikweli...hakuna haja ya huyo bwana kuweka hadharani makubaliano yao na mzee malecela sasa hivi...ni udhaifu mkubwa kununuliwa na mpinzani wako...atumie njia nyingine kupitia uwezo wake na wala asikimbilie kumchafua yule mzee, hawa wazee wamelitumikia taifa hili kwa muda ruwaombe waachie ngazi wawapishe vijana lakini tusiwatoe kwa kashfa...suala kama hili ndio linalojitokeza jimbo la bumbuli...kijana January Makamba ameanzisha ugomvi mkubwa na mzee shelukindo na huenda wakafikishana hata mahakamani....
 
Inasikitisha kuona kuwa watu wanaacha kuchukua haki zao za kimsingi za kugombea uongozi kwa kutarajiwa siku moja kuachiwa nafasi washinde kirahisi...basi hata kama kuna makubaliano kama hayo na yabaki huko huko...sasa kuyaweka kwenye public ndo watu wamuone Malecela mbaya ama?

Yeye alitakiwa kusema na mimi nitawania nafasi ya kiti cha ubunge huko Mtera hizo stori nyingine za kulalamika wakati alishafanya makosa za nini?
 
Naanza kuingiwa na wasi wasi na watetezi wa Malecela kwa jitihada zao za kutaka kufuta historia. Huyu mzee amewahi kutoa matamshi tata lakini kila zinapotolewa humu kunatokea mtu anapinga akidai ushahidi. Wengine tuliobahatika kusikia matamshi haya tunabaki tu kujiuliza - kuna nini ?

....read me good buddy.......
 
Nasubiri kuona comments za mwanasiasa mmoja mashuhuri wa JF katika thread hii kabla sijatoa mchango wangu hapa!

kwi kwi kwi.........Mkuu wee mwaga comments.......usije baadaye kusema....."na mimi nilitaka kusema hivyo hivyo......"imao............usitake kuniambia hapa JF watu siku hizi hamuandiki mpaka muone fulani kaandika.........i thought JF ni watu wenye fikra HURU..........wee tuambie

1. Makubaliano hayo na Lusinde yalifanyika wapi na lini
2. Kusema Burundi na Rwanda ni vinchi vidogo hivyo tuvichukue....hayo maneno yalisemwa lini na wapi

.......otherwise itakuwa ni "uzandiki" eti......au
 
My Take:

Naona kazi imeanza sasa Mtera,huyu kijana(Lusinde) ni mwanasiasa machachari hasa,nakumbuka mwaka 2005 alimuumiza kichwa sana mzee Malecela kiasi kwamba wakafikia makubaliano kwamba asubiri mwaka huu wa 2010,kijana alikubali hasa baada ya kupewa kazi ya kuwa Katibu msaidiz wa CCM wa wilaya ya Kongwa-Dodoma(Ikumbukwe kwamba kabla ya hapo alikuwa ni mwanachama wa TLP kama sikosei na mwakahuo wa 2005 alitaka kugombea kwa tiketi ya TLP na alikuwa tishio kiasi kwamba mzee Malecela hakuwa na la kufanya zaidi ya kumuomba ajitoe na pia kumshawishi ajiunge na CCM kisha akapewa nafasi hiyo ya Katibu msaidizi wa CCM(W).

Binafsi Lusinde ni mtu wangu wa karibu sana na ni mwanasiasa mzuri hasa(CCM wanamtumia sana kwenye kampeni zao),wakati wa uchaguzi mdogo wa jimbo la Tunduru Lusinde alitumika ipasavyo katika kampeni kiasi cha kupelekea mgombea wa CCM ndugu Mtutula kushinda,baada ya hapo Lusinde alipandishwa cheo na kuwa Katibu wa CCM wa wilaya ya Tunduru,kisha baadaye akahamishiwa Tarime aliko sasa...Kijana ana kipaji hasa kwenye siasa za kuongea/kujieleza...Mzee Malecela inabidi ajizatiti hasa kama kweli kaamua kugombea maana Lusinde anawezambwaga(endapo hakutatokea mizengwe ndani ya CCM

Pia kuna jamaa mwingine anaitwa Laurent Hoya(mmiliki wa mabasi ya Mshikamano na mabucha ya kisasa ya Mshikamano),huyu naye anakubalika sana Mtera na Mvumi,naye nasikia ana mpango wa kugombea ubunge wa Mtera na juzjuzi tu hapa kapewa Ukamanda wa vijana wilaya ya Chamwino...Kazi ipo Mtera mwaka huu,tusubiri na tuone
.

Huyu mzee naye anatamaa sana na madaraka.Wenzie wote waliowahi kuwa waziri wakuu wamekaa pembeni,Yeye baado tu.Duh.Huyu Mzee anahitaji washauri.
 
He who get the joke last........

First im not fazed with thesauras english, so dont get it twisted with those who praise ur posts based on that. I read you and ur nothing like you think ur im talking facts hapa.

Not political, not sociological, not economics may be literature. Having saying that in my books ur disqualified straight up to either of the arguments. Huje as blueray, kiranga, Khang, Dani or Ndjabu the dude none of those you have grasped.

May be its u, you shouldnt flatter or else keep going if ur in the mood. Unabisha jamaa hafai malecela hafai and u argue about change. Do you even read ya self.

Wewe si uliomba msamaha na kupeprusha bendera nyeupe hapa?

Sasa umerudi? Really unataka niku murder machete tena? Majeruhi niliyokupa hayakutoshi?

Usilete ma inferiority complex yako ya kiingereza hapa, mtu anayeshindania kiingereza ni mshamba kwani kiingereza kama alivyosema mzee Mwinyi, ni kiswahili cha dunia, kwa hiyo the fact kwamba una discuss kuhusu kiingereza ina ku expose level yako ilivyo ndogo.

Unataka kuongelea usanifu wa lugha sasa? I did not start that shyt.

Mi hata nikitoka katika kiingereza (thesauras, lol) na kuingia katika Kiswahili nakuunguza tu.

Ona hapa

Huje as blueray, kiranga, Khang, Dani or Ndjabu the dude none of those you have grasped.

Huje? Wewe umekuja na mbio za mwenge nini? Forget about English, Kiswahili umejifunzia wapi?


Also, I do not take serious any praise or blame I come across here at JF.Kama watu wengine wanafanyia league hapa mimi simo humo. I take pride in my equanimity.

I would rather be disqualified in a fool's book, because negative times negatives makes positive and sometimes disqualification in a fools books is vindication to the wise, kwa muoga huenda kicheko kwa shujaa huenda kilio.

Huna hata soni kuja kujivua nguo hadharani hapa eti kujishaua "Do you even read yourself" Hivi hii ni sentensi ya kiingereza kweli? Wewe unayetamba kwamba unajua mambo, hiyo ni sentensi inayoweza kusimama? Au unajiaibisha kwa kuandika kwa kiingereza sentensi zako za Kiswahili bila kujua structure ya kiingereza na the correct context? I did not want to get into the trivialities of language, you made me do it.

Don't make me do it, cause I overdo it.
 
Inashangaza,katibu wa chama, kusema alikuwa na makubaliano ya kuachiwa ubunge! Kwani ubunge umekuwa wakurithishana? Hii ina maana kuwa mtu mwingine haruhsiwi kugombea ubunge wa Mtera kwa sababu Malecela alimwahidi Lusinde! Kazi kwenu wana Mtera!!!
 
- I mean the uptodates ni Malecela last week alikuwa Paris, sasa yuko London na this week atakuwa New York City kuendelea na ziara yake, sikuwa na nia hata ya ku-comment hii habari maana ni too low, lakini nimeombwa sana mpaka na viongozi wa juu wa taifa, ahhhgrrr Tanzania bwana kweli kuna waliotuloga sio bure!

Respect.


FMEs!

Duuhhh.............no wonder Taifa letu liko mahala lilipo leo hii.............we are just doomed..............and we can not get out of them.............
 
Lakini nyie mnatwanga maji tu kwene kinu. Hivi ubunge ni muarobaini wa matatizo ya wananchi? Kaa walau ungekuwa ni panadol, ndani ya miaka 40 kujitawala tusione hata dalili ya hii tiba japo kidogo? Jaribuni kuzieka fikra zenu kidogo nje ya conventional thinking.
 
kijana vipi una kura moja tuu utamng"oaje mzee badili kauli sema wananchi wanasema watambwaga Tunda lililoiva wanataka yasiyo komaa maana ni wajawazito
 
Kuamua kugombea ubunge ni hatua ya kwanza, kugombea ubunge ni hatua ya pili; hatua ya muhimu ni ile ya kuwa mbunge. Siyo kila mgombea atakuwa mbunge.


- Where are the facts, yaani melvi mmoja amelewa akaamka na kuanza kurpoka ropoka naye ana-make news tena leo taifa zima lime-freeze, kweli Malecela ni star wa Tanzania politics.

10 pages hakuna facts wala useful ideas kwa taifa au kwa sisi wananchi wa Mtera, badala yake majungu, fitina, wivu, chuki na njaa njaaa tu, sisi wagogo hatuna hayo matatizo when the times comes tutachagua what is best kwa jimbo letu na sio walevi walevi kama huyu mpuuuzi. Tunahitaji mbunge anayeweza kuelewa jinsi bwawa la umeme wa taifa jimboni kwetu linavyo-function na faida zake kwa jimbo na hasara zake ki-environment, sasa huyu mlevi si atatuletea pombe tu huko Mtera, duh!

- I mean the uptodates ni Malecela last week alikuwa Paris, sasa yuko London na this week atakuwa New York City kuendelea na ziara yake, sikuwa na nia hata ya ku-comment hii habari maana ni too low, lakini nimeombwa sana mpaka na viongozi wa juu wa taifa, ahhhgrrr Tanzania bwana kweli kuna waliotuloga sio bure!

Respect.


FMEs!


Nilikuwa sijasoma hii; ni ushahidi tosha kuwa JF ni jamvi kubwa sana kama kilivyo Kichuguu. Lina wanachama wa kutoka kada nyingi sana: Juu hadi Chini; Kushoto hadi Kulia.

Wewe sasa unanunua ugomvi....

NN; nyamaza kabisa.
 
- I mean the uptodates ni Malecela last week alikuwa Paris, sasa yuko London na this week atakuwa New York City kuendelea na ziara yake, sikuwa na nia hata ya ku-comment hii habari maana ni too low, lakini nimeombwa sana mpaka na viongozi wa juu wa taifa, ahhhgrrr Tanzania bwana kweli kuna waliotuloga sio bure!

Respect.

FMEs!


Duh! Kazi ipo:confused:!
 
Kuna haja ya kubadilisha sheria za sifa za kugombea ubunge

Moja ya sifa hiyo ni kuwa Mbunge awe japo amegombea nafasi ya udiwani kwa vipindi viwili. Sisemi kushinda nasema kugombea. Wenye dhamira ya kweli ya kusaidia kero za watu tutawajua kwa kigezo hiki.
 
Huyu Lusinde hana lolote, kama kweli alitaka kuwasaidia wanachi wa mtera kwa nini alikubali kuachia ngazi. Sioni kama anatofauti na mzee wetu Malecela maana kama kweli nina nia dhabiti ya kuwakomboa watu ni watu ndio watakaosema , sio kukaa na mtu mezani na kusema kula wewe kwanza mimi zamu ijayo.

Na nina wasi wasi kati ya wale watu kumi wa DECI na yeye ndiye wa kumi. Sasa hivi kaja juu ili mzee aogope ampe vipesa atulie tena. Tena ni bora asingetuambia hiyo deal yao yeye angekuja straight kuwa nina nia ya kuwania ubunge Mtera, sisi wananchi wa mtera hatuwapi watu ubunge kwa zamu, tunaangalia performance, wewe sema malecela ni mzee tu kuhusu maendeleo tunakuona kuwa ni muongo wa mwisho, kuna jimbo ambalo limeendelea kwa muda mfupi kuliko Mtera?

Kuna dispensaries ngapi kule ambazo malecela kaanzisha katika kipindi chake?? Swala ni kwamba vijana wajitokeze wampokee lakini kuhusu maendeleo kwamba hajaleta hapo unaonekana huna sera sisi wana Mtera hatulikubali. "Wahulika gwe Mkombi"
 
Duuhhh.............no wonder Taifa letu liko mahala lilipo leo hii.............we are just doomed..............and we can not get out of them.............

- Ni kwa sababu ya wanafiki wanaoshinda mahotelini kwa Rais na Januari, wanakunywa na kula nao halafu wanakuja hapa kuleta matusi against hiyo hiyo iliyowalipia hivyo vyakula, yaani CCM, na wakimbizi waliohifadhiwa na kusomeshwa na hiyo hiyo CCM sasa leo eti wamekwua freedom fighters ndio ianchekesha sana, anyways nawahi Soho kuna St. Patric parade leo.

Later


FMEs!
 
Back
Top Bottom